Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]JAMAA KAFUNGWA MPAKA MAPUUUMBU
Mihemko mubasharaKemea kwa jina Yesu,hiyo ni hatari sana,huyo ni mshirikina anatumia nguvu za giza...
Mwambie akimbilie wapi sasa asifekesho utakufa,, kimbia haraka sana...
Pole sana.Nimekata tamaa sana kwa hakika!!!
Nashukuru kwa Faraja na ushauri wako,Mungu akubariki sana!!!Pole sana.
Mshukuru Mungu amekuonyesha mapema.
Piga magoti tubu kwa Mungu omba akupatie amani moyoni ya kuyapokea yaliyokukuta .
Kuhusu mchumba au mke amini Mungu anakuandalia alie mwema hivyo muondoe kabisa huyo ili uweke nafasi ya kumpata wako.
Tafadhali endelea kuomba upate uvumilivu nguvu na amani ili kwa namna yoyote Mungu atengeneze mazingira ya wewe kuwa mbali nae kwa usalama na amani.
Dada huyo bila shaka alipotoka tu na akasahau Mungu pekee ndio anaeweza mfanyia Mume mwema na sio ndumba.
Nakutakia heri na Mungu akujaalie hekima na busara wakati huu.
magroup ya whatsup yanadanganya watu sanaPole sana.
Mshukuru Mungu amekuonyesha mapema.
Piga magoti tubu kwa Mungu omba akupatie amani moyoni ya kuyapokea yaliyokukuta .
Kuhusu mchumba au mke amini Mungu anakuandalia alie mwema hivyo muondoe kabisa huyo ili uweke nafasi ya kumpata wako.
Tafadhali endelea kuomba upate uvumilivu nguvu na amani ili kwa namna yoyote Mungu atengeneze mazingira ya wewe kuwa mbali nae kwa usalama na amani.
Dada huyo bila shaka alipotoka tu na akasahau Mungu pekee ndio anaeweza mfanyia Mume mwema na sio ndumba.
Nakutakia heri na Mungu akujaalie hekima na busara wakati huu.
nasikia unanitafuta unilogeMihemko mubashara
Apana nakutafuta kwa wema! Kwani naupendo wa dhati kwako.nasikia unanitafuta uniloge
Wadada wa darslamu hao[emoji23] [emoji23] [emoji23].......... siku hizi wadada kugegedwa kwao ni kawaida, hata mimi nakumbuka kipindi nilipokuwa naanza maisha kuna dada nilipendana nae nilikuwa naenda kumgegeda gheto kwake na nilikuwa nalala hapo kwake weekend nzima. Alikuwa anaishi na mdogo wake wa kiume, nikikumbuka ile hali(hali ya kwenda kumgegeda kwao huku anaishi na mdogo wake wa kiume) huwa najisikia guilty hadi leo![emoji22][emoji22][emoji22]
Aisee hiyo hali isikie kwa wengine tu,isikukute kabisa!!Siku hizi insta topic kubwa ni malimbwata... Kuweni makin wakaka mtalishwa vcvyolika!
Eee! Maana kila page ni malimbwata tu mara mvuto mara chumv mara nn.. Mtalishwa na vnyes khaaa!Aisee hiyo hali isikie kwa wengine tu,isikukute kabisa!!
Kamwe haiwezi kutokea,Mungu wangu ninaye mwamini hawezi ruhusu jambo hilo litokee kwanguMda sio mrefu utakua boya!
Hommie hapa kuna jambo gani? Kama ni uchawi ngoja nitangulie mlimani kuwaombea
DUNIA INA MAMBO .NIMECHOKA UPWEKE NGOJA NA MIE NIKALOGE NAOMBA NAMBA YA MPENZI WAKO MKUU
Sasa ndiyo nimejua kwann hamkuwahi kungombana na zaidi anakuwa mpole kwako , ww ni msukule wake hataki kukuchosha maana unalima sana usiku.