Nimejaliwa, kwa kupima tu, sina mshindani

Nimejaliwa, kwa kupima tu, sina mshindani

Mwanamke kupika ati?
attachment.php


Hii Misosi haina Majina maana huo Mseto walia kijiko tu oi
 
[/CENTER]

Hapo pichani kuna mkono wa Mzungu na Mezani hiyo Mat inamaandishi ya Restaurant na maneno ya juu kitu kama Baobab vile wewe kujidai kote yaonesha hujui kupika hata Chai


😛op2:
 
Duduwasha...acha hizo, hiyo mimi huwa naipendaga sana. Nikimimina hiyo sitaki mlo tena maana inasaidia sana ukiwa mtu wa kupunguza uzito hina calories nyingi and very fulfiling.
 
Last edited by a moderator:
Duduwasha...acha hizo, hiyo mimi huwa naipendaga sana. Nikimimina hiyo sitaki mlo tena maana inasaidia sana ukiwa mtu wa kupunguza uzito hina calories nyingi and very fulfiling.

Hebu tuambieni inaandaliwa vipi hadi imfanye mtu aipende! kitu mimekaa Zanzibar Mix a.k.a Ulojo Zenji ukishapata hiyo kitu unashushia na juice ya Ukwaju au Juice ya Vitunguu
 
nimemiss samaki wa ukwee wa sato mwanza,and i wish i was a good cook jamani...am hopeless nikiolewa sijui itakuwaje mume wangu atakula mavyakula ya tui kibao lol

Nyie wadada wa cku hizi hasara tupu,unaona mwenzio anavyojua kukorofisha we unategemea utaolewa kweli mbulula kwelii
 
afu majitu yanayojidai hivi ndo hamnaga kitu kabsaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..........huku ameshika kasimu kake anachati na kufeisibuku utasikia switie leo nina hamu na chipsi kuku,ili mkale kwa muuza chipsi nje, ndo haya haya, mkirudi kafungua laptop yake anaangalia series "revange/nikita" eti coz umeng'ang'ania re,ote kuangalia habari ujue yaliyojiri zanzibara kama wamekunya kanisani this tym!!!hawa wetu bwana, wanaitwa movie,music,feisibuku na twita, hata kumtawaza mtoto hawajui, kupika labda kuchemsha maji ya kuoga!!
 
[/CENTER]

Hapo pichani kuna mkono wa Mzungu na Mezani hiyo Mat inamaandishi ya Restaurant na maneno ya juu kitu kama Baobab vile wewe kujidai kote yaonesha hujui kupika hata Chai

She wishes to be...!

Dada bado hujachelewa nenda kajifunze!!!
 
ha ha ha... Duduwasha si ukaushe tuu. yeye ni mpishi pale:smile-big: kama ametuambia ni nyumban kwake basi atakuwa ameumbuka. picha zingine pia kachota matandaoni, mishikaki sijui ni cous cous au ni wali vile
[/CENTER]

Hapo pichani kuna mkono wa Mzungu na Mezani hiyo Mat inamaandishi ya Restaurant na maneno ya juu kitu kama Baobab vile wewe kujidai kote yaonesha hujui kupika hata Chai
 
Last edited by a moderator:
Mmm, mimi niko nazingatia kula na kunywa kwa kipimo kama nilivyoweka hapa chini:

Mlo Kamili 7.jpg
 
hebu tupe recipe mpendwa? hata kama umeviphoto kwa hotel, hujavifanyia majaribio home? mm huwa nikikipenda chakula kwa hotel na sijui kukiandaa hujipendekeza kwa chef hata akinipa namba ya simu tu other day najua atapata muda wa kunielekeza..
 
[/CENTER]

Hapo pichani kuna mkono wa Mzungu na Mezani hiyo Mat inamaandishi ya Restaurant na maneno ya juu kitu kama Baobab vile wewe kujidai kote yaonesha hujui kupika hata Chai

Ni kweli hayo ni mambo ya Mahotelini aliyotuonyesha tangu mwanzo! Wana JF kuweni wakweli, acheni maigizo!
 
Copy sana picha, sahani hazijirudii, menu zinaonekana mezani, meza zinatofautiana ai weweweeeee kweli JF imeingiliwa na division zero
 
Back
Top Bottom