Mtanga Tc
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 235
- 84
Hiji ni bada (Yaani nasema huu ni ugali wa muhogo nini?)Akikooa tu, hewala bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiji ni bada (Yaani nasema huu ni ugali wa muhogo nini?)Akikooa tu, hewala bwana
naona ushapoteza sifa kuu ya mama wa kiafrika.nimemiss samaki wa ukwee wa sato mwanza,and i wish i was a good cook jamani...am hopeless nikiolewa sijui itakuwaje mume wangu atakula mavyakula ya tui kibao lol
naona ushapoteza sifa kuu ya mama wa kiafrika.
Hizi tunaziita ngumi kavu kavu za usoni.[/CENTER]
Hapo pichani kuna mkono wa Mzungu na Mezani hiyo Mat inamaandishi ya Restaurant na maneno ya juu kitu kama Baobab vile wewe kujidai kote yaonesha hujui kupika hata Chai