Hiji ni bada (Yaani nasema huu ni ugali wa muhogo nini?)Akikooa tu, hewala bwana
naona ushapoteza sifa kuu ya mama wa kiafrika.nimemiss samaki wa ukwee wa sato mwanza,and i wish i was a good cook jamani...am hopeless nikiolewa sijui itakuwaje mume wangu atakula mavyakula ya tui kibao lol
naona ushapoteza sifa kuu ya mama wa kiafrika.
Hizi tunaziita ngumi kavu kavu za usoni.[/CENTER]
Hapo pichani kuna mkono wa Mzungu na Mezani hiyo Mat inamaandishi ya Restaurant na maneno ya juu kitu kama Baobab vile wewe kujidai kote yaonesha hujui kupika hata Chai