Nimejaribu kuanzisha biashara mbalimbali lakini huwa hazidumu. Naombeni ushauri

Nimejaribu kuanzisha biashara mbalimbali lakini huwa hazidumu. Naombeni ushauri

Ukisoma masimulizi ya waliofanikiwa kwenye biashara mfano Elon Masks ama Macdonald's wanasema Kuna wakati hali ya biashara iliwaendea vibaya hadi wakatamani ku-quit biashara

Lakini pamoja na kuanguka mara kadhaa, lakini hatimaye alisimama Tena na kufanikiwa.

Endelea kujipa muda, utafanikiwa Siku Moja

Ukiona biashara hiyo ya Laundry (Ufuaji) hailipi kulingana na Msimu, jaribu kufanya biashara nyingine

Kila la heri Mkuu [emoji120]
Asante sana mkuu.
 
maisha ni fumbo kubwa ambalo kulifunua inahitaji hekima na ufahamu wa juu sana

"Ulivyo ni matokeo ya jinsi unavyofikili unachofikili"

Mafanikio ya kudumu huanzia NDANI ya MTU, and vice versa (i.e anguko au kutokufanikiwa kwa mtu huanzia NDANI kwa Maana ya moyoni)

Kuna vitu viwili ni muhimu sana katika maisha ya MTU yeyote mwenye akili

1/ malengo > dira ya MAISHA ya MTU
2/ mpango > njia au barabara au ramani ya kuifanikisha dira ( way to achieve our goals)


Kama hatujakaa chini na kuset hivi vitu kwa umakini na usahihi hata tupewe 1BILLION nothing we can achieve na sio lahisi kuset hivi vitu inahitaji Hekima na ufahamu na maarifa pamoja na muda na USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)[emoji16]

Ndio maana vijana wengi leo wanatafuta ajira kwasababu hawana malengo NDANI yao bali wana mpango mmoja t wa kuajiliwa na mtu wa aina hi akishaajiliwa Hawezi kupata financial freedom b'se atakua ni mtu wa kusubiri mshahara mwisho wa mwezi autumie kwasababu hana malengo yoyote [emoji2299]

majukumu yanaongezeka kadri siku zinavyokwenda ila mshahara upo fixed ndio maana civil servants wengi wanakufa masikini au maisha yao ni duni Sana

Ushauri
Ukitaka mafanikio ya kudumu Zingatia sana USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI) B'se Hapa ndipo penye kila kitu cha MAISHA ya mwanadamu kuanzia kesho yetu, malengo ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu na mipango au wazo au Neema ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu kwaajili ya kutimiza malengo ambayo ameweka ndani yetu na vitu vyooooooooote kwaajili ya kufanikiwa vipo NDANI ya USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)
Asante, nimekuelewa.
 
Habari Wana JamiiForums,

Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.

Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.

Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.

Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
Kuna mmoja anasema ameponea kwa Mwamposa
 
kuna mdada mmoja huku mtaani alianzisha biashara ya chakula alifanya biashara siku moja tu siku iliyofuata akafunga biashara sababu anasema biashara ngumu sasa anaendelea na biashara yake ya muda mrefu ya kuuza nyama (code)
 
Oky pole sana.
Wapo wengi wanaopitia hali kama yako na usipokuwa makini itakuandama mpaka uzee.
Nitakushauri kutokana na uzoefu wangu halisi maana huko koote nimepitia tena naweza kusema ni yawezekana nimekuzidi.
Kwanza anza kwa kuzichunguza familia aliyotoka baba yako na mama yako kisha.
Niambie kisha tutaendelea.
Mungu hajawahi mtupa mja wake.
 
Ulifanya wapi biashara ya kufua tuna Idea sawa tuungane nini kama vipi mimi nafikiriga kama kutafuta sehemu naweka kamba nyingi za kuanika nichape vipeperushi nisambaze eneo zima hapo ni kukusanya nguo na kufua tu kwa bei chee
 
Habari Wana JamiiForums,

Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.

Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.

Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.

Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
Pole kwa changamoto ndugu. Hiyo na story ya kila mtu mwenye mafanikio makubwa. Unafeli, unafeli, unafeli, unafeli ikisha mambo kidogo kidogo yanaanza kubadiliki hadi inafika siku unajishtukizia hee. Na mimi ni katika wenye mafanikio.

Njia ya uhakika ya kupata mafinikio ni kutafuta watu waliofanikiwa wakuongoze. Kama utapenda nikusaidie kufanya hivyo nijulishe. Nitakupatia program bure ya kupata wazo zuri la biashara bila ya kupoteza mtaji.
 
maisha ni fumbo kubwa ambalo kulifunua inahitaji hekima na ufahamu wa juu sana

"Ulivyo ni matokeo ya jinsi unavyofikili unachofikili"

Mafanikio ya kudumu huanzia NDANI ya MTU, and vice versa (i.e anguko au kutokufanikiwa kwa mtu huanzia NDANI kwa Maana ya moyoni)

Kuna vitu viwili ni muhimu sana katika maisha ya MTU yeyote mwenye akili

1/ malengo > dira ya MAISHA ya MTU
2/ mpango > njia au barabara au ramani ya kuifanikisha dira ( way to achieve our goals)


Kama hatujakaa chini na kuset hivi vitu kwa umakini na usahihi hata tupewe 1BILLION nothing we can achieve na sio lahisi kuset hivi vitu inahitaji Hekima na ufahamu na maarifa pamoja na muda na USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)😁

Ndio maana vijana wengi leo wanatafuta ajira kwasababu hawana malengo NDANI yao bali wana mpango mmoja t wa kuajiliwa na mtu wa aina hi akishaajiliwa Hawezi kupata financial freedom b'se atakua ni mtu wa kusubiri mshahara mwisho wa mwezi autumie kwasababu hana malengo yoyote 🙆🏻‍♂️

majukumu yanaongezeka kadri siku zinavyokwenda ila mshahara upo fixed ndio maana civil servants wengi wanakufa masikini au maisha yao ni duni Sana

Ushauri
Ukitaka mafanikio ya kudumu Zingatia sana USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI) B'se Hapa ndipo penye kila kitu cha MAISHA ya mwanadamu kuanzia kesho yetu, malengo ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu na mipango au wazo au Neema ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu kwaajili ya kutimiza malengo ambayo ameweka ndani yetu na vitu vyooooooooote kwaajili ya kufanikiwa vipo NDANI ya USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)
 
Pole kwa changamoto ndugu. Hiyo na story ya kila mtu mwenye mafanikio makubwa. Unafeli, unafeli, unafeli, unafeli ikisha mambo kidogo kidogo yanaanza kubadiliki hadi inafika siku unajishtukizia hee. Na mimi ni katika wenye mafanikio.

Njia ya uhakika ya kupata mafinikio ni kutafuta watu waliofanikiwa wakuongoze. Kama utapenda nikusaidie kufanya hivyo nijulishe. Nitakupatia program bure ya kupata wazo zuri la biashara bila ya kupoteza mtaji.
Mkuu umeongea point sanaa💪💪
 
Habari Wana JamiiForums,

Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.

Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.

Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.

Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
Neno mbalimbali ndio limebeba taswira nzima ya kufeli kwako.

Kwa nini iwe mbalimbali na sio moja uikomaliee ?
 
Habari Wana JamiiForums,

Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.

Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.

Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.

Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
ushauri wangu ukikutana na changamoto kwenye Biashara usikimbilie kuanza Biashara nyingine jitaidi utatue izo changamoto kwenye hiyo Biashara unayofanya mbili kuwa na Malengo ya mda mrefu na mda mfupi usifanye Biashara tu kwasababu unashida ya pesa ya haraka jaribu kukaa chini uchague wazo moja utakolo lifanya kwa mda mrefu
 
ushauri wangu ukikutana na changamoto kwenye Biashara usikimbilie kuanza Biashara nyingine jitaidi utatue izo changamoto kwenye hiyo Biashara unayofanya mbili kuwa na Malengo ya mda mrefu na mda mfupi usifanye Biashara tu kwasababu unashida ya pesa ya haraka jaribu kukaa chini uchague wazo moja utakolo lifanya kwa mda mrefu
Consistency ni changamoto kwa watu wengi
 
Back
Top Bottom