Alicia leon
Member
- Apr 19, 2021
- 52
- 116
- Thread starter
-
- #21
Asante sana mkuu.Ukisoma masimulizi ya waliofanikiwa kwenye biashara mfano Elon Masks ama Macdonald's wanasema Kuna wakati hali ya biashara iliwaendea vibaya hadi wakatamani ku-quit biashara
Lakini pamoja na kuanguka mara kadhaa, lakini hatimaye alisimama Tena na kufanikiwa.
Endelea kujipa muda, utafanikiwa Siku Moja
Ukiona biashara hiyo ya Laundry (Ufuaji) hailipi kulingana na Msimu, jaribu kufanya biashara nyingine
Kila la heri Mkuu [emoji120]
Asante, nimekuelewa.maisha ni fumbo kubwa ambalo kulifunua inahitaji hekima na ufahamu wa juu sana
"Ulivyo ni matokeo ya jinsi unavyofikili unachofikili"
Mafanikio ya kudumu huanzia NDANI ya MTU, and vice versa (i.e anguko au kutokufanikiwa kwa mtu huanzia NDANI kwa Maana ya moyoni)
Kuna vitu viwili ni muhimu sana katika maisha ya MTU yeyote mwenye akili
1/ malengo > dira ya MAISHA ya MTU
2/ mpango > njia au barabara au ramani ya kuifanikisha dira ( way to achieve our goals)
Kama hatujakaa chini na kuset hivi vitu kwa umakini na usahihi hata tupewe 1BILLION nothing we can achieve na sio lahisi kuset hivi vitu inahitaji Hekima na ufahamu na maarifa pamoja na muda na USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)[emoji16]
Ndio maana vijana wengi leo wanatafuta ajira kwasababu hawana malengo NDANI yao bali wana mpango mmoja t wa kuajiliwa na mtu wa aina hi akishaajiliwa Hawezi kupata financial freedom b'se atakua ni mtu wa kusubiri mshahara mwisho wa mwezi autumie kwasababu hana malengo yoyote [emoji2299]
majukumu yanaongezeka kadri siku zinavyokwenda ila mshahara upo fixed ndio maana civil servants wengi wanakufa masikini au maisha yao ni duni Sana
Ushauri
Ukitaka mafanikio ya kudumu Zingatia sana USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI) B'se Hapa ndipo penye kila kitu cha MAISHA ya mwanadamu kuanzia kesho yetu, malengo ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu na mipango au wazo au Neema ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu kwaajili ya kutimiza malengo ambayo ameweka ndani yetu na vitu vyooooooooote kwaajili ya kufanikiwa vipo NDANI ya USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)
Amen 🙏🙏Asante sana mkuu.
Kuna mmoja anasema ameponea kwa MwamposaHabari Wana JamiiForums,
Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.
Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.
Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.
Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
Wajuaji wamefikaAchana na bihashara jitahidi uanzishe Biashara
Ndiyo nimejifunza mengi sana mkuu. Namshukuru Mungu, naendelea kupambana licha ya changamoto zote hizo.
Alicia leonbuashara ya kufua na usafi haihitaji mtaji je nini kilikukwamisha? na kwa nini usiirudie
pole hauko peke ako lakini
Pole kwa changamoto ndugu. Hiyo na story ya kila mtu mwenye mafanikio makubwa. Unafeli, unafeli, unafeli, unafeli ikisha mambo kidogo kidogo yanaanza kubadiliki hadi inafika siku unajishtukizia hee. Na mimi ni katika wenye mafanikio.Habari Wana JamiiForums,
Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.
Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.
Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.
Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
maisha ni fumbo kubwa ambalo kulifunua inahitaji hekima na ufahamu wa juu sana
"Ulivyo ni matokeo ya jinsi unavyofikili unachofikili"
Mafanikio ya kudumu huanzia NDANI ya MTU, and vice versa (i.e anguko au kutokufanikiwa kwa mtu huanzia NDANI kwa Maana ya moyoni)
Kuna vitu viwili ni muhimu sana katika maisha ya MTU yeyote mwenye akili
1/ malengo > dira ya MAISHA ya MTU
2/ mpango > njia au barabara au ramani ya kuifanikisha dira ( way to achieve our goals)
Kama hatujakaa chini na kuset hivi vitu kwa umakini na usahihi hata tupewe 1BILLION nothing we can achieve na sio lahisi kuset hivi vitu inahitaji Hekima na ufahamu na maarifa pamoja na muda na USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)😁
Ndio maana vijana wengi leo wanatafuta ajira kwasababu hawana malengo NDANI yao bali wana mpango mmoja t wa kuajiliwa na mtu wa aina hi akishaajiliwa Hawezi kupata financial freedom b'se atakua ni mtu wa kusubiri mshahara mwisho wa mwezi autumie kwasababu hana malengo yoyote 🙆🏻♂️
majukumu yanaongezeka kadri siku zinavyokwenda ila mshahara upo fixed ndio maana civil servants wengi wanakufa masikini au maisha yao ni duni Sana
Ushauri
Ukitaka mafanikio ya kudumu Zingatia sana USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI) B'se Hapa ndipo penye kila kitu cha MAISHA ya mwanadamu kuanzia kesho yetu, malengo ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu na mipango au wazo au Neema ambayo MUNGU ameweka NDANI yetu kwaajili ya kutimiza malengo ambayo ameweka ndani yetu na vitu vyooooooooote kwaajili ya kufanikiwa vipo NDANI ya USAFI WA KIROHO (UTAKATIFU/HAKI)
Mkuu umeongea point sanaa💪💪Pole kwa changamoto ndugu. Hiyo na story ya kila mtu mwenye mafanikio makubwa. Unafeli, unafeli, unafeli, unafeli ikisha mambo kidogo kidogo yanaanza kubadiliki hadi inafika siku unajishtukizia hee. Na mimi ni katika wenye mafanikio.
Njia ya uhakika ya kupata mafinikio ni kutafuta watu waliofanikiwa wakuongoze. Kama utapenda nikusaidie kufanya hivyo nijulishe. Nitakupatia program bure ya kupata wazo zuri la biashara bila ya kupoteza mtaji.
Neno mbalimbali ndio limebeba taswira nzima ya kufeli kwako.Habari Wana JamiiForums,
Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.
Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.
Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.
Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
ushauri wangu ukikutana na changamoto kwenye Biashara usikimbilie kuanza Biashara nyingine jitaidi utatue izo changamoto kwenye hiyo Biashara unayofanya mbili kuwa na Malengo ya mda mrefu na mda mfupi usifanye Biashara tu kwasababu unashida ya pesa ya haraka jaribu kukaa chini uchague wazo moja utakolo lifanya kwa mda mrefuHabari Wana JamiiForums,
Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na sehemu moja ya kujipatia riziki lakini inashindikana, na sitaki kukata tamaa licha ya changamoto zote hizi.
Nimejaribu kuanzisha bihashara mbalimbali lakini huwa hazidumu, hata nilianzisha ya kufua na nilipostigi humu Kuna watu baadhi walijitokeza nikawafanyia kwa ufasaha lakini baadae ikatokea changamoto nikashindwa kuendelea. Nashindwa kuelewa ni kitu gani kinanizunguka kwenye maisha yangu na mtaji wangu, inafika kpindi nakosa hata pesa ya kula kwa siku lakini Muumba wetu anazidi kunipa nguvu ya kuendelea kusimama Tena na kupambana.
Na kipindi hiki cha mfungo kwangu kimekuwa ni kigumu sana kwa kukosa pesa ya kujikimu kwa kipindi kizima. Naombeni mnigaie ushauri nifanye nini niweze kusimama imara kwa uthabiti, mwenr kazi pia naomba anisaidie ili niweze kujikimu.
Naombeni mawazo yenu na ushauri wenu maana akili yangu imefikika mwisho kuwaza Mimi ndugu zangu. Nimechoka.
Exactly anafanya akiona changamoto anaacha...kufanikiwa ni kufanya kitu kwa muendelezo huku ukizikabili changamotoYou are not consistent
Consistency ni changamoto kwa watu wengiushauri wangu ukikutana na changamoto kwenye Biashara usikimbilie kuanza Biashara nyingine jitaidi utatue izo changamoto kwenye hiyo Biashara unayofanya mbili kuwa na Malengo ya mda mrefu na mda mfupi usifanye Biashara tu kwasababu unashida ya pesa ya haraka jaribu kukaa chini uchague wazo moja utakolo lifanya kwa mda mrefu