Nimejaribu kuelezea maana ya kuishi na mwanamke kwa akili

Uliyoandika bado hayatoshi kumwelewa mwanamke.

Sasa Kama mtu Ana uwezo wa kulia machozi ya furaha na kucheka kicheko Cha huzuni huyo utamwelewaje?
Mamaeee nimecheka sitaki kuendeles kusoma comment ase
 
Usitumie akili sana kuishi na mwanamke, tumia sana hisia.
 
Huu upumbavu siwezi fanya kuwa na kiumbe mke, Wala kuoa au upimbi wa ndoa siwezi kufanya udwanzi na ushenzi wa kuoa ni sumu
 
Uliyoandika bado hayatoshi kumwelewa mwanamke.

Sasa Kama mtu Ana uwezo wa kulia machozi ya furaha na kucheka kicheko Cha huzuni huyo utamwelewaje?
Aaahh hahahahahahahahah
 
Huu upumbavu siwezi fanya kuwa na kiumbe mke, Wala kuoa au upimbi wa ndoa siwezi kufanya udwanzi na ushenzi wa kuoa ni sumu
Jamiiforum kuna uhuru wa kutoa maoni kama ni upumbavu mwambie mod aufute uzi
 
Mweee .....nadharia kwa kweli zipo nyingi.
Cha msingi ni kwamba dawa ya kuishi na mwanamke ni moja tuu, kiwa na mcheps mzuri kuliko yeye
 
Mweee .....nadharia kwa kweli zipo nyingi.
Cha msingi ni kwamba dawa ya kuishi na mwanamke ni moja tuu, kiwa na mcheps mzuri kuliko yeye
Hivi ukiwa na wake wawili (namaanisha wake official kabisa sio videm) threesome unaweza kupiga au ni dhambi
 
Ila kumbuka mke wangu si mke wako hawa ni watu wawili tofauti ,hawa watu kuwaelewa ngumu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…