Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Ila nyie wanaume mnaobaka mbuzi na kulawiti watoto wachanga ndo mnaeleweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vumilia mpaka mwisho ndo na nilivyo sipendi kelele. Zungumza naye ikishindikana na wewe uwe unarapu. Life is too shortVipi kwa Hawa wanawake wanaorapu unaishije nao
Kurapu ni matokeo ya malezi mabovu.Vumilia mpaka mwisho ndo na nilivyo sipendi kelele. Zungumza naye ikishindikana na wewe uwe unarapu. Life is too short
So ni jinsia ya ke waliolelewa uswaziKurapu ni matokeo ya malezi mabovu.
Mtoto anaachwa anaongea tu hovyo bila brake,Hana wa kumzuia asiongee unnecessary akiwa mkubwa ni lazima awe rapa.
Bahati mbaya unakosea kuingia kwenye ndoa
Huko wamefeli kwenye suala la malezi.So ni jinsia ya ke waliolelewa uswazi