Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
37c4d24e-92da-4332-b397-5ecfb9cfadcd.jpg

Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
 
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Mkuu haijaungua kidogo umetengeneza mkaa hapo...
 
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Hahhahahaaaa hazijaungua kidogo hizo zimeungua kabisa
 
Hahhahahaaaa hazijaungua kidogo hizo zimeungua kabisa
Mkuu, acha kunikatisha tamaa ya kujifunza kupika. Nmeomba ushauri, kama unaweza nifundishe. Hata hivyo haijaungua hiyo bali imebadiika rangi, nahisi ni kwa sababu ya mafuta yatakuwa yameungua.
 
Mkuu, acha kunikatisha tamaa ya kujifunza kupika. Nmeomba ushauri, kama unaweza nifundishe. Hata hivyo haijaungua hiyo bali imebadiika rangi, nahisi ni kwa sababu ya mafuta yatakuwa yameungua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee imekuwaje leo kwani?shem yuko wapi? manake naona bado unajitetea
 
1. Acha kuchat au kufanya shughuli nyingine wakati unapika kama wewe si mpishi mzoefu unaeweza kukadiria muda na huna recipe.
Asante, kilichonichelewesha ni kumenya viazi na kuosha sahani. nlikuwa mbali kidogo. Asante kwa ushauri. Mwisho wa siku ntaomba mtu wa kujitolea aje kunifundisha hili pishi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee imekuwaje leo kwani?shem yuko wapi? manake naona bado unajitetea
Mkuu, sijafanikiwa kupata shemeji yako. Nipo kwenye mchakato. Nataka mwakani nioe eidha ndoa ya kanisani, mahakamani, mkeka, kimila au vyovyote vile, Muhimu lazima nioe aisee. hii imekuwa too much. Vipi wewe tayari?
 
ngoja nikufundishe, njia ya 1
chemsha maji yapate moto kisha yaepue. ukishaandaa viazi vyako viweke kwenye maji hayo ya moto kiasi kwa dakika 10 hivi, kisha vitoe uchuje maji uweke kwenye mafuta.
kwenye hayo maji uweke na chumvi kabisa.

njia ya 2
andaa viazi vyako viweke kwenye freezer vikishaganda vitoe kisha viache vichujuke ubarafu na uvikaange.
baada ya hapo hakikisha hauvigeuzi geuzi,
halafu jaribu kupikia kwenye sufuria manake hiyo dish inaunguza ukiwa mzembe.
acha kuchat.
 
Mkuu, sijafanikiwa kupata shemeji yako. Nipo kwenye mchakato. Nataka mwakani nioe eidha ndoa ya kanisani, mahakamani, mkeka, kimila au vyovyote vile, Muhimu lazima nioe aisee. hii imekuwa too much. Vipi wewe tayari?
Duu mimi naingia mwaka wa kumi sasa tena kwa kuchelewa saana. ..jitahidi nakuombea
 
Back
Top Bottom