Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

ayaah,,,umenikumbusha dame fulani nilikuta anakaanga chips kwa mafuta machache kama anakaanga chapati,hadi saa tisa toka saa nne chips nasubiri bado hazijaiva,,ha ha ha,


nenda you tube search,"how to cook MacDonald french fries"
 
Asante, kilichonichelewesha ni kumenya viazi na kuosha sahani. nlikuwa mbali kidogo. Asante kwa ushauri. Mwisho wa siku ntaomba mtu wa kujitolea aje kunifundisha hili pishi.
Yaani huoshi sahani hadi uwe unataka kuitumia?... Ama kweli wanawake tuna kazi hapa duniani. Mkeo akiumwa siku tatu tunakuja kutoa Funza ndani
 
Asante sana mkuu, ila mimi nataka vya kukaanga sio kuchemsha. halafu nataka vikauke. Asante, siku nyingine ntakuwa sichati.

Hiyo ya kuweka viazi kwenye freezer inasaidia nini au hiyo ya kusubiri dakika 10? Manake mimi hadi napika, maanake njaa inakuwa inauma. Sasa hapo si ntakuwa napoteza muda?
 
Duu mimi naingia mwaka wa kumi sasa tena kwa kuchelewa saana. ..jitahidi nakuombea
Kila ninaye mpata simuelewielewi, upendo unaisha. Au nmerogwa mkuu? Hongera sana kwa Miaka 10 hiyo, umejitahidi sana
 
Yaani huoshi sahani hadi uwe unataka kuitumia?... Ama kweli wanawake tuna kazi hapa duniani. Mkeo akiumwa siku tatu tunakuja kutoa Funza ndani
Hapana mkuu, hii imetokea bahati mbaya tu, hata nishindwa kuelewa imekuwaje hivi. Ndo maana nikaja kuomba msaada. Mimi huwa ni mtaalam wa kupika Makange na kusonga ugali wa muhogo ulochanganywa na dona. Yaani unakula hadi kujiramba vidole.
 
ayaah,,,umenikumbusha dame fulani nilikuta anakaanga chips kwa mafuta machache kama anakaanga chapati,hadi saa tisa toka saa nne chips nasubiri bado hazijaiva,,ha ha ha,


nenda you tube search,"how to cook MacDonald french fries"
Asante kwa ushauri mkuu. Ila uzuri wa hapa JF unaipata ile ya kinyimbani nyumbani.
 
Hapo umetengeneza chips za kuchoma.

Hivi kuna tofauti gani kati ya chips na viazi vya kukaanga
 
hebu nisome vizuri.

hiyo ni option kwa anayehitaji kitu kizuri...
 
Mkuu, acha kunikatisha tamaa ya kujifunza kupika. Nmeomba ushauri, kama unaweza nifundishe. Hata hivyo haijaungua hiyo bali imebadiika rangi, nahisi ni kwa sababu ya mafuta yatakuwa yameungua.

Ukichanganya mafuta ya transformer kidogo tu haziungui tena [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
pamoja nakuwa mwanaume mie sijawahi kufeli kupika aisee japo sina mke
 
figuost: 17396937 said:
Nielekeze mkuu. Inasaidia nini? Hazitepeti?
zitatepeta ukizigeuzageuza mara kwa mara.
ila kama ukizitoa kwenye maji ukazichuja na kuzitia kwenye mafuta, zinakua na ladha flani amazing.
 
Bro.
Umetengeza kaukau za viazi, wallahi sio chipsi hizo...
 
Hapo umetengeneza chips za kuchoma.

Hivi kuna tofauti gani kati ya chips na viazi vya kukaanga
Wewe hujui kupika wala huwezi nicheka[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…