Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Wacha bwana!!! Wakati hata ugali uloiva na mbichi hujui weye ilimradi mkono uende kinywani.Mi nadili na end products..Nina mdomo/ulimi makini wenye kutambua ladha nzuri na mbaya..Ndo mana nasema ningezionja ningetoa maksi.