Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Mil 7 atamaliza kila kitu? Unajielewa kweli wewe? Hivi unajua gharama ya finishing ni mara 2 hadi 3 ya gharama ya boma? Au u anazungumzia kumaliza kila kitu kwa namna gani

Sent using Jamii Forums mobile app

Twende kwa fact usilalamike, eleza nieleze hivyo tutawezana Mkuu. Vinginevyo tuishie hapa hapa.


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
..........Mkuu umemaanisha au?hata hivyo sikubishii inawezekana ulipo wewe gharama zikawa kubwa zaidi but kwa ujenzi wa nyumba standard Dar gharama zipo juu kiasi.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Nyumba hiyo hiyo standard kujenga mkoani ni gharama sana.


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Naunga hoja mkono mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa hatua hiyo. Mimi mwenyewe mpaka hatua hii nimetumia 13M. Vyumba 4, sebule kubwa(4*5m) dining, toilet moja ndani. Inawezekana ikiwa Kuna usimamizi wa karibu na siyo wa kuagizaView attachment 1307621
Hongera sana, hii ipo mkoa upi? Natarajia kuanza ujenzi naona namna ya ujenzi yaendana na huku nilipo so nataka pata picha kamili ya kujiandaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kweli aisee mafundi hawaaminiki kabisa.
Hiyo kitu uliyosema ilinitokea hata Mimi.
Nilitumia milioni 50 na nyumba ikawa haijaisha.
Baadae kushtuka naona huyo fundi kashajenga nyumba yake na kahamia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi mdis mtu, ila huu ni uongo wa kiwango kikubwaaa, cement, mbao, bati, grill, milango....bado sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la kupaua, nshaona mtu kapaua kwa m27, bati flan hv za kigae, juu kama zimemwagiwa mchanga wa rami, kipande kimoja kizito balaa, mbao, zilipangwa nyingi sana,
Nliambiwa kigae kimoja kinacost 15000 mpaka 25, ujenzi unatofautiana na material

Material size ya kati, m50 unahamia nyumba ya kisasa kabisa
Maana nachoshangaa maana bati za migongo mipana or maxcover lazima huezekaji huende kwny 15m ,na hukigusa versatile,romanitile lazima ufike 30m hapo kuezeka tu maana haina hiyo ya huezekaji inahitaji mbao nyingi labda tuwaulize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mil 7 atamaliza kila kitu? Unajielewa kweli wewe? Hivi unajua gharama ya finishing ni mara 2 hadi 3 ya gharama ya boma? Au u anazungumzia kumaliza kila kitu kwa namna gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi watu wengine hunishangaza kujifanya ujuaji wakati ni mbumbumbu kabisa.
Milioni 7 ni kitu gani kwenye ujenzi wakati ukipiga plaster tu milioni 4 au 5 inakatika unabakiwa na milioni 2 au 3.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
50m ulitakiwa uhamie, na ww umepigwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama unaweza kujenga, msingi, ukuta, paa kwa Milioni 12.... Labda uwe fundi wewe mwenyewe wa kila kitu, usilipe vibarua, tofali uandae mwenyewe, nyumba ujengee udongo wa tope... Hapo at least takuamini japo nyumba haitakua na viwango stahiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…