Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Hata akisema bati 200 na mbao 400 misumari gunia 3 haifiki hiyo 15M .... Jamaa muongo ana mahesabu kama ya CHAKUBANGA
Kuna bati za bei mbaya chief. ALAF versatile, romantile, na kuna bati za kigae zile ziko coated na mchanga kwa juu. So usibishe, pia room tatu zipo za ukubwa tofauti unakuta mtu kajenga room kubwa say 4 by 4meters na vyumba vyote ni self contained.

Sebule unakuta ukubwa 6by6 mters so huyo lazima atumie gharama kubwa. Binafsi nilitumia 10.8M kwenye foundation na kujaza kifusi. Zingatia eneo lilikua na slope kubwa iliyonigharimu kuweka mikanda/beam mbili. Na niliweka nguzo sita upande wenye slope na kati.
Na nilikuwepo site mwanzo mwisho hakuna kilichoibwa.

Msimbishie mtu hesabu zake muulizeni mchanganuo wa project yake.
 
Tena shukuru hukupewa madirio pengine ungekuwa hujaanza hayo unataka kujua hayakusaidii chochote ndugu
 
Ipo sahihi lakini hujasema Kama mfumo wa choo je ni pesa hiyohiyo au la. Kwa 12 hujapoteza cha msingi ukiweza maliza vyumba 2 ili uhamie na mengine yatajitokeza ukiwa hapo kwako tena utayakamilisha kwa umakini zaidi. Niwazo langu unahihari ya kuchagua uwazavyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji122][emoji122]
 
Hawa vijana wa Daslama ni wapuuzi sana yani wakishakua na uwezo wa kupanga kachumba kamoja Sinza tv flat screen,kasofa,kafliji na kitanda cha 6x6 basi wanamuona kila mtu ni fala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mungu akubariki kwa kututia moyo sio hawa makuz kazi kutukatisha tamaa[emoji122][emoji122]
 
Best hueezi kuwa na kalio zito namna hiyo ukose hata kibanda cha kuhongwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ha ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] umeanza ungese na wewe!

We haribu uzi wa watu wakutoe baruuu, watu wenyewe wamevurugwa humu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unaambiwa msingi tu mtu katumia 50m na ni nyumba ya chini vyumba vitatu just normal tu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]
 
Inategemea unataka kufuga nini kwenye hiko kibanda chako ila kwa hapo ulipofikia nguruwe unaweza anza kufuga bila matatizo
 
Acha upuuzi..tofali inunue Tsh 2000 moja room 2 zipe tofali 2000...jenga na cement ya 1m weka bati za m2 fundi mpe 2m=sawa na m5...m2 mchnga sawa na m7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…