900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
bila kuweka picha hapa utakuwa umepotezaKama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana
Inashangaza watu wengi hawajui kitu rahisi kama hiki. Mfano mtu katumia vifaa vya finishing kutoka Dar Ceramica tiles za bafuni 50,000 per square metre ni bei ya kawaida,vyoo kimoja hadi 500,000, kuna taa za ndani moja tu 65,000 ya kawaida kabisa,kuna taa za nje moja hadi 100,000 kitchen unit metre moja 500,000. Rangi kuna zile rangi za ndani ukiingia utafikiri ukuta umepigwa tiles sebuleni tu unaweza kutumia 500,000. Boma zinaweza kufanana bei ila finished house zikatofautiana mamilioni.Mkuu unaweza kuta nyumba ramani ile ile na ukubwa ule ule moja imetumia mil 50, nyingine imekula mil. 200 kutegemea na eneo, ubora wa materials na aina za mafundi au injinia.
finishing utakayofanya ndio itapanga bei ya nyumba yako.kweli. muhimu katika yote kujenga ni akili sana. Unatakiwa wewe mwenyewe ushiriki kikamilifu. Lakini jambo lingine la Msingi ni Rational use of resources. Engineer mwingine kwa kutaka sifa anakupangia vitu vyenye gharama kubwa ambavyo sio lazima. Mfano hata hospitali unaweza kwenda una maumivu ya mguu ukapewa dawa za elfu 30 wakati panadol ya elfu moja na miatano zilikuwa zinatosha kuondoa maumivu hayo hayo na bila madhara yoyote
Watu wanabisha tu, kisa yeye kaokoteza material reject na dili dili nyingi anafikiri gharama za ujenzi ziko uniform...Inashangaza watu wengi hawajui kitu rahisi kama hiki. Mfano mtu katumia vifaa vya finishing kutoka Dar Ceramica tiles za bafuni 50,000 per square metre ni bei ya kawaida,vyoo kimoja hadi 500,000, kuna taa za ndani moja tu 65,000 ya kawaida kabisa,kuna taa za nje moja hadi 100,000 kitchen unit metre moja 500,000. Rangi kuna zile rangi za ndani ukiingia utafikiri ukuta umepigwa tiles sebuleni tu unaweza kutumia 500,000. Boma zinaweza kufanana bei ila finished house zikatofautiana mamilioni.
Sahihi. Finishing ndio haieleweki kabisa. Bei inakuwa kadri unavyotaka.finishing utakayofanya ndio itapanga bei ya nyumba yako.
Nakubaliana na weweInashangaza watu wengi hawajui kitu rahisi kama hiki. Mfano mtu katumia vifaa vya finishing kutoka Dar Ceramica tiles za bafuni 50,000 per square metre ni bei ya kawaida,vyoo kimoja hadi 500,000, kuna taa za ndani moja tu 65,000 ya kawaida kabisa,kuna taa za nje moja hadi 100,000 kitchen unit metre moja 500,000. Rangi kuna zile rangi za ndani ukiingia utafikiri ukuta umepigwa tiles sebuleni tu unaweza kutumia 500,000. Boma zinaweza kufanana bei ila finished house zikatofautiana mamilioni.
Mkuu sijakuelewa kabisa[emoji23][emoji23]Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga kabanda ka room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bati za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama unanisema mimi kabisa mkuu?Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Ubadilike sasaMbona kama unanisema mimi kabisa mkuu?
[emoji3]Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Drill imehusikaje kwenye madirisha na milango mkuu?Kama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana
Chai siyo?
Wanawake wa aina hii nilijua wamemalizwa na Elnino kumbe bado mpo?Ukishaamua lako usitegemee ushauri kutoka kwa watu. Kama hapo palipofikia hiyo nyumba inaweza kukalika nenda kakae vingine utamalizia ukiwa humo.