Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

bila kuweka picha hapa utakuwa umepoteza
 
Mkuu unaweza kuta nyumba ramani ile ile na ukubwa ule ule moja imetumia mil 50, nyingine imekula mil. 200 kutegemea na eneo, ubora wa materials na aina za mafundi au injinia.
Inashangaza watu wengi hawajui kitu rahisi kama hiki. Mfano mtu katumia vifaa vya finishing kutoka Dar Ceramica tiles za bafuni 50,000 per square metre ni bei ya kawaida,vyoo kimoja hadi 500,000, kuna taa za ndani moja tu 65,000 ya kawaida kabisa,kuna taa za nje moja hadi 100,000 kitchen unit metre moja 500,000. Rangi kuna zile rangi za ndani ukiingia utafikiri ukuta umepigwa tiles sebuleni tu unaweza kutumia 500,000. Boma zinaweza kufanana bei ila finished house zikatofautiana mamilioni.
 
finishing utakayofanya ndio itapanga bei ya nyumba yako.
 
Watu wanabisha tu, kisa yeye kaokoteza material reject na dili dili nyingi anafikiri gharama za ujenzi ziko uniform...
 
Nakubaliana na wewe
 
Mkuu sijakuelewa kabisa[emoji23][emoji23]

Aliyekusimamia mjengo wako alipata pesa nzuri sana aisee

Maana mm kwa 12M nilitegemea kiongozi awe umesogeza pakubwa tu maana hiyo nyumba ya room tatu na kama alivyosema room za kawaida seble ya kawaida ingetakiwa iwe imesogea sana maana kunyanyua structure tu ya mjengo sio inshu

Gharama zinaanza Kwenye usafi(finishing and decoration)ndio changamoto ilipo
 
Mbona kama unanisema mimi kabisa mkuu?
 
Vijana wa hovyo sana..
Ukioa unakuja na uzi..
Harusi..uzi...
Kazi...uzi...
Mtoto...uzi...
Kununua pc simu usafiri.. uzi ..
Kuwanja, kujenga uzi ...
Kuumwa kidogo tuuu uzi ....

Huu ni ugonjwa tunaoulea kwa sasa.
Ushauri TOZO IONGEZWE kuna watu bado dawa haijawaingi
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta kibaoni-Bagamoyo road
 
[emoji3]
 
Drill imehusikaje kwenye madirisha na milango mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…