Kausha nini wewe takotu, mbuzi kunuka wewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nishaelewaaa aiseee sema na ww kausha sasa tusimwage mchele kwny kuku wengi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli aisee narudi nyuma Sana'a[emoji28][emoji28]
Mkuu umejenga msingi na mabati yani kupaua kwa milioni 3? Nyumba ina matofali mangapi? Bati uliweka geji gani na ulinunua wapi? Kenchi umeweka za kiasi gani na ulinunua wapi? na pia hayo matofali cement ulinunua mifuko mingapi na kila mfuko ulikua unatoa tofali ngapi..?Sitaki kusema uongo wala kubishana na mtu.Kiwanja nilipewa (sijanunua)nikatumia Milion tatu kujenga msingi mpaka bati nyumba ya vyumba vitatu na sebule.
Nimetumia milioni mbili kumalizia finishing mpaka tiles.
Nimetumia milion moja kujenga choo nje na septic tank.nimeingia kibishi nikaweka umeme after two years
NB:Matofali nimefyatua mwenyewe,
*fundi nimempata mtaani nikampa ramani tu.Nilimlipa Milion moja na nusu vyote mpaka mtu wa kupaua alimleta mwenyewe.
*Septic nimechimbiwa kwa elf 70 na kujengea nimechajiwa laki moja jumla laki na 70.Iliobaki ni kuunganisha choo ndani na cha nje coz septic tank ni moja.
Kwa hiyo,milion 3 msingi +milion 2 finishing + milion moja septic na choo nje+hela ya fundi milion moja na nusu+ rough extra milion moja( usafiri na matumizi madogo madogo pale site) nikijumlisha na gharama za wiring mpaka kuingiza umeme na kisima nje nimetumia roughly milion kumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hilo boga ashanifata sana pm kunitongoza nikimuona bushmonkey Mla chips, mi na chips wap na wap nshazoea maisha yangu ya kigasta, majani na mabapa kwa sana
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Hatubishani mkuu tunawekana sawa,kwa post mnazotuma hapa za watu mnaopigwa huko mitaani na mafundi na mainjinia akizisoma mtu mwenye nia ya kujenga ataingia woga kwamba akiwa na mil 20/30 hawezi kuanza ujenzi kumbe ni uwongo.
Tusiwatishe watu kwa makosa tunayofanya wenyewe.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Huyo anakaa Kwa dada, Hajielewi🤣🤣🤣kuna kipindi ilisemekana yy ndo anaongoza kwa kutongoza ..!😅!kidume huyo oho
Nikipata Pension!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umejenga msingi na mabati yani kupaua kwa milioni 3? Nyumba ina matofali mangapi? Bati uliweka geji gani na ulinunua wapi? Kenchi umeweka za kiasi gani na ulinunua wapi? na pia hayo matofali cement ulinunua mifuko mingapi na kila mfuko ulikua unatoa tofali ngapi..?
Anhaa kwamba huyu ndo amejenga nyumba ya style hio? Hizo uswahilini wanaziita "banda" korido ndefu kanisani kila upande una room..Mkuu kuna zile nyumba za kizamani...zile vyumba na korido!sijui km unanielewa!.so inawezekana km iko hvyo..nyumba za zaman zina ufupi fulan...nyumba za kisasa zimepanda kama kozi kadhaa!sipend nyumba zenye kordo upande rums then kwisha habareee😉!
Anhaa kwamba huyu ndo amejenga nyumba ya style hio? Hizo uswahilini wanaziita "banda" korido ndefu kanisani kila upande una room..
Hahahaha kona hizo zinapendeza kwa ajili ya watoti kujifunzia kurndesha baskeli wanakua wanashikilia hawadondoki..hahahaha ila humu watu ni waongo sana wanapenda kukuza mambo sana...Hahhhahah! Niwe mkweli sizipendi! Mie tuliyojenga ni kama sh tano ilivyo ile ya zamani!ina kona fulan amazing humo ndani!hujui rooms ziko wap!mikorido hyp mm hapana aisee
Hahahaha kona hizo zinapendeza kwa ajili ya watoti kujifunzia kurndesha baskeli wanakua wanashikilia hawadondoki..hahahaha ila humu watu ni waongo sana wanapenda kukuza mambo sana...
Humo ndani ndo safi hawaumii wala nini..kwaio mlijenga muda mrefu saba enh?😀😀😀watajifunzia nje aisee
Two yrs!Humo ndani ndo safi hawaumii wala nini..kwaio mlijenga muda mrefu saba enh?
Duuh 2 years ? Mboba ramani nzuri nzuri zilishakua zipo mitaani?Two yrs!
Duuh 2 years ? Mboba ramani nzuri nzuri zilishakua zipo mitaani?
Ulinsema mmejenga design ya sh.tano ina pembe pembe..na style kama hii ya banda vyumba vyenye korido ndefu..au nimechanganya sehemu?Huenda sijakuelewa!umesema tulijenga kwa muda gan?nikajibu 2yrs..ss sijaelewa point yako hapa
Ulinsema mmejenga design ya sh.tano ina pembe pembe..na style kama hii ya banda vyumba vyenye korido ndefu..au nimechanganya sehemu?