Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akisema bati 200 na mbao 400 misumari gunia 3 haifiki hiyo 15M .... Jamaa muongo ana mahesabu kama ya CHAKUBANGA
 
Mbona unatukatisha tamaa wenye vipato vidogo mkuu[emoji852][emoji852][emoji852]
Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaha eti tayari..nacheka kifwala!.changa[emoji91] ni nyingi sana aisee unaenda mbele hatua kumi unaridi 3[emoji58].muombe@Bushmamy namba zangu[emoji28][emoji28]!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nishaelewaaa aiseee sema na ww kausha sasa tusimwage mchele kwny kuku wengi[emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli aisee narudi nyuma Sana'a[emoji28][emoji28]
 
Tusibishane sana mkuu, wengine wanatumia material reject, low quality au zilizoibwa mahali. kuna jamaa aliwahi kusema hatumii pesa nyingi kwa mafundi, anavizia wakiwa wamepigika hasa anawaita wanapiga msosi ambao wataufanyia kazi. Kwa upande wako inawezekana kabisa upo sahihi..
Hatubishani mkuu tunawekana sawa,kwa post mnazotuma hapa za watu mnaopigwa huko mitaani na mafundi na mainjinia akizisoma mtu mwenye nia ya kujenga ataingia woga kwamba akiwa na mil 20/30 hawezi kuanza ujenzi kumbe ni uwongo.

Tusiwatishe watu kwa makosa tunayofanya wenyewe.


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nishaelewaaa aiseee sema na ww kausha sasa tusimwage mchele kwny kuku wengi[emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli aisee narudi nyuma Sana'a[emoji28][emoji28]


Aaha unaumwa ww dawa yako nishagunduaga ni bushmamy tu thts y nikamuita!😏
 
Aaha unaumwa ww dawa yako nishagunduaga ni bushmamy tu thts y nikamuita![emoji57]
[emoji16][emoji16][emoji16] heheheh lait ungejua[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza simuogopi wala nn hata kidogoo[emoji57][emoji57] we muite tu
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Unajisifu kutapeliwa? We hamnazo kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Room mbili ni 6M inatosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu chukuwa likes kutoka kwangu umenifurahisha sana ...
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Nyumba hiyo kupaua kwa m 15 kama kuna ukakasi sehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujenzi ni eneo mkuu, sasa hujasema umejengea mkoa gani, ila kwa uzoefu wangu hapo andaa milioni nyingine 7 hivi utamaliza kila kitu

NB: unaweza usiimalize hiyo Ml. 7 au ikaongezeka kidogo sana


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Mil 7 atamaliza kila kitu? Unajielewa kweli wewe? Hivi unajua gharama ya finishing ni mara 2 hadi 3 ya gharama ya boma? Au u anazungumzia kumaliza kila kitu kwa namna gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kusema uongo wala kubishana na mtu.Kiwanja nilipewa (sijanunua)nikatumia Milion tatu kujenga msingi mpaka bati nyumba ya vyumba vitatu na sebule.
Nimetumia milioni mbili kumalizia finishing mpaka tiles.
Nimetumia milion moja kujenga choo nje na septic tank.nimeingia kibishi nikaweka umeme after two years
NB:Matofali nimefyatua mwenyewe,
*fundi nimempata mtaani nikampa ramani tu.Nilimlipa Milion moja na nusu vyote mpaka mtu wa kupaua alimleta mwenyewe.
*Septic nimechimbiwa kwa elf 70 na kujengea nimechajiwa laki moja jumla laki na 70.Iliobaki ni kuunganisha choo ndani na cha nje coz septic tank ni moja.
Kwa hiyo,milion 3 msingi +milion 2 finishing + milion moja septic na choo nje+hela ya fundi milion moja na nusu+ rough extra milion moja( usafiri na matumizi madogo madogo pale site) nikijumlisha na gharama za wiring mpaka kuingiza umeme na kisima nje nimetumia roughly milion kumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Umejenga ghorofa? Mbona pesa nyingi sana kwa roofing chaa!! Au huwa unatuma kwa mpesa watu wanakununulia vifaa na kujenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..........Mkuu umemaanisha au?hata hivyo sikubishii inawezekana ulipo wewe gharama zikawa kubwa zaidi but kwa ujenzi wa nyumba standard Dar gharama zipo juu kiasi.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Rahisi kwa sababu ya upatikanaji wa material.... unaweza kununua kiwandani moja kwa moja. Inakua nafuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom