Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Asante kaka
Watu wengi wanawadanganya watu kuwa finishing gharama....

Chumba cha kawaida cha sqm 10.8 kinachukua vigae vya 1.8sqm box 6 (60*60)
Ambapo ukichukua vya gharama tuseme 40000 kwa box ni 240000
Ufundi ni 50000
Cement na powder ya vigae hautazidi 50000

Jumla 340000

Gypsum chumba cha kawaida huchukua hicho hicho kitachukua 5 gharama zake ni chini ya 100000 pamoja na ufundi

Chumba 1 finishing haiwezi zidi 2 mil hapo ushapiga na rangi na mlango na upvc au aluminium tena hii ni gharama kwa vifaa grade 1

Vyumba 3 inaangukia kwenye 6mil na kubakia
Ukienda sebre dining na jiko haiwezi zidi 6 mil

Hivyo finishing kwa jumla yake inaweza isizidi 12 mil na hapo ushafanya wiring

Tatizo kubwa twaachia mafundi hatuendi kupima wala kununua bidhaa husika

Fundi wa geti anapiga mahesabu ya juu anakwambia kitasa 70000 anaenda weka cha 22000
Square pipe anakuambia ameweka ya 25000 kumbe dukani ni 17000
Bati anakwambia 65000 kumbe kapata kwa 40000


Umeme nao anakulia hela kwa kuambia kanunua mcb za 12000 kumbe kanunua za 5000
Wire anakwambia kanunua 2.5 kwa 1.5 kumbe kanunua 2.5 pekee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu ambae hajawahi kufanya ujenzi wa nyumba kubwa ukimwambia hivi atakuelewa,hakuna namna nyumba yenye master bedroom,vyumba viwili vya kulala jiko na store ikatumia 50 mill huku hujapiga hata plaster,pale juu ulisema paa tu limekula 15mill.....

Well,kwa hiyo wewe boma tu umejenga kwa 35millions?nyumba gani ya hivyo brother!ndo maana pale juu nikakwambia kupitia wewe yupo mtu anajiandaa kuhamia kwake huku ukijisifu kujenga boma lenye paa tu kwa hela ambayo wenzako kwa hela hiyo hiyo wanajenga 75% ya ujenzi wa nyumba kubwa na yenye viwango vyote.

Kingine mtu anaposema ana kibanda hamaanishi kama cha kuku,ni aina tu wabongo tumezoea kuwakilisha tunapozungumzia nyumba zetu ili kuondoa kuonekana tunaringa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Huyu mdau sidhani kama amejenga, kwa haya maelezo yake hii ni chai.
 
Kila kitu kinawezekana chini ya jua hivyo nakupongeza sana mtoa mada kwa hatua uliyofikia.
Binafsi nipo naendelea na ujenzi na kwa sasa nipo kwenye hatua za mwisho. Nyumba yangu ina vyumba 3 vya kulala, sebule, jiko, dining, store na studying room.
Nimefanya yafuatayo:
Grill kwenye madirisha yote pamoja na mlango wa mbele na nyuma;
Frame za milango yote;
Plasta ndani na nje;
Nimefunga Gypsum za Tanzania double elephant @15,000;
Plumbing nyumba nzima total ~800,000 pamoja na fundi;
Wiring nymba nzima nimetumia wire za single aina ya Euro total ~1.2m pamoja na fundi (nimeshaomba kuunganishiwa umeme, survayer ameshafika site).
20191230_164427.jpg

Kiujumla hadi sasa nimetumia approximately 45m. Pumzi imepungua nataka kumalizia chumba kimoja nihamie, mengine nitaendelea nayo nikiwa ndani.
Nilianza kujenga nikiwa na pesa taslim 10m. Hata sielewi mpaka nilipofikia zimetoka wapi. Nilianza ujenzi February 2019.
Ambacho naweza kushauri ni kuwa usijenge kwenye makaratasi, anza na kile ulichonacho, Mungu atakufanikisha tu taratibu ukiwa na nia. Ujenzi una vigharama vya ajabu sana vinavyotokea hivyo mtu akikuambia katumia kiasi fulani cha fedha wala usishangae, huenda kuna gharama kakutana nazo ambazo wewe hujakutana nazo.
 
Twende kwa fact usilalamike, eleza nieleze hivyo tutawezana Mkuu. Vinginevyo tuishie hapa hapa.


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Tafuta fundi akuchanganulie kwa mujibu wa hiyo nyumba ya mtoa post,anzia kuweka mifumo ya wiring (gharama ya vifaa na ufundi) kisha lipu kutandika jamvi ,blandering, gypsum board, gypsum powder, fisherboard ,pvc board,misumari,tiles, cement ya kukazia tiles, fedha ya mafundi( fundi lipu,fundi tiles ,fundi blandering,fundi gypsum board, fundi pvc board)
Hapo ni kwa uchache tu ndugu yangu
Hapo bado hujaweka na yale madirisha yetu ya siku hizi yale wala milango ya ndani kwa kila chumba,hapo vioo vya juu ya partition ya milango bado wala hujamuita fundi rangi aje aanzie skimming mpaka apake rangi yake kuanzia kuta mpaka dali
Upo hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
50m ulitakiwa uhamie, na ww umepigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
..............Yah sikatai inawezekana kwa hesabu zako ukawa upo sahihi ila mimi ambaye nipo kwenye mchezo bado sijauona upigwaji wowote na hiyo gharama inakuwa kubwa kutokana na naweka vitu vizuri vya kudumu ambavyo vina-cost hela nyingi,kwa sasa nina nguvu naweka vitu sitegemei baada ya miaka miwili nivibadilishe kisa vimeanza kuchoka.

Umri unasogea majukumu yanaongezeka haya mambo ya ujenzi ukisema uweke vitu temporary siku vinaharibika vyote na mfukoni hakutoshi nyumba inahitaji maintenance kama siyo kuiacha ionekane kama pango la njiwa utafanyaje!ndo ninachokikwepa hicho.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kila kitu kinawezekana chini ya jua hivyo nakupongeza sana mtoa mada kwa hatua uliyofikia.
Binafsi nipo naendelea na ujenzi na kwa sasa nipo kwenye hatua za mwisho. Nyumba yangu ina vyumba 3 vya kulala, sebule, jiko, dining, store na studying room.
Nimefanya yafuatayo:
Grill kwenye madirisha yote pamoja na mlango wa mbele na nyuma;
Frame za milango yote;
Plasta ndani na nje;
Nimefunga Gypsum za Tanzania double elephant @15,000;
Plumbing nyumba nzima total ~800,000 pamoja na fundi;
Wiring nymba nzima nimetumia wire za single aina ya Euro total ~1.2m pamoja na fundi (nimeshaomba kuunganishiwa umeme, survayer ameshafika site).
View attachment 1308228
Kiujumla hadi sasa nimetumia approximately 45m. Pumzi imepungua nataka kumalizia chumba kimoja nihamie, mengine nitaendelea nayo nikiwa ndani.
Nilianza kujenga nikiwa na pesa taslim 10m. Hata sielewi mpaka nilipofikia zimetoka wapi. Nilianza ujenzi February 2019.
Ambacho naweza kushauri ni kuwa usijenge kwenye makaratasi, anza na kile ulichonacho, Mungu atakufanikisha tu taratibu ukiwa na nia. Ujenzi una vigharama vya ajabu sana vinavyotokea hivyo mtu akikuambia katumia kiasi fulani cha fedha wala usishangae, huenda kuna gharama kakutana nazo ambazo wewe hujakutana nazo.
Ila vifaa jaribu kununua wewe maana hizo gypsum ni 13500 Jumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Appreciate. And noted ni kweli yaani umelenga
mle mle.
 
Kwa vyovyote hizi reply zinahusu post zangu nilizo-post kwenye huu uzi,hata utumie material gani kutoka Tanzania hakuna nyumba ya chini ya room tatu even nne inajengwa boma tu bila kuezekwa kwa million 35 msiwatishe watu na kuwakatisha tamaa kwa vitu vyenu vya kubuni.

Hapo chini nitaonekana kama natafuta kick but siyo lengo langu nataka mkuu Nyumisi utuwekee hilo paa lililo-cost ml15 kwenye nyumba ya rooms zisizozidi tano,hapa nimeambatanisha picha bati ni ALAF order kiwandani moja nilinunua Tsh28,580 zimeingia bati 120,kuna kofia hesabu za mbao nk haijafika mill12 fundi 1.3mill nyumba ina master bedroom,vyumba viwili vya kulala,choo&bafu public,store,jiko dinning na sitting room kubwa inaenea set mbili za sofa na baraza mbili ya mbele kubwa na nyuma ya wastani,msingi wa hii nyumba chini ya ndugu yangu engineer ulikata mil8 na cent kadhaa.

Nimejengea tofali Nch 6,imekula tofali 4,170 cement sikuinyima nondo sikuinyima na kwa sababu pana kama kilima ina nguzo tano permanently za zege zilizosimama kutoka kwenye kiuno mpaka kwenye lintel zizolinigharimu cement ya kutosha sasa nimeshaipiga plaster iliyopimwa kwa TIMANZI cement tu nje na ndani mifuko 73,frame za milango nimeweka mbao Mninga nyumba nzima milango ipo saba frame moja 190K tayari nimeshafunga milango mitatu mkubwa umeni-cost 475K midogo @270K,nimepiga brandering na rough floor kwa ajili ya kupokea tiles napo nimeingiza mchanga na cement za kutosha,grills nimeweka chuma mml6 zipo dirisha 11 vyooni na store 4 ila nimepiga hesabu imegota kwenye Tsh46,475,000/=.

Huu ujenzi nimejenga Dar,naweza kusema nipo zaidi ya %70 nyumba kuimaliza it means kutoka sasa nikiwa na na 20mill nitakuwa naongea mengine halafu nyie mpo hapa mnadanganya jamii mnajenga maboma kwa mil50...siyo vizuri haipendezi kuna watu wanatamani waanze ujenzi ila wakikutana na haya mambo ya kuambiana habari za mamilioni wanaogopa hela wanaenda kuichoma bar au kununua magari wakiamini muda wao wa kuanza ujenzi bado kumbe hata million 10 inafaa kuanza.View attachment 1305931View attachment 1305932View attachment 1305933View attachment 1305934

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu hizi gharama anazotaja mpaka meogopa eti 200milion na bado haijaisha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hizi gharama anazotaja mpaka meogopa eti 200milion na bado haijaisha


Sent using Jamii Forums mobile app
Mjanja mjanja huyo,kwa sababu yupo nyuma ya keyboards anadhani hakuna watakaong'amua uwongo wake na
watu dizain hii wanapenda sana kuwakatisha wenzao tamaa kwa kujibunia vitu ambavyo havipo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kwa mtu makini anayejua kucheza na pesa kwenye ujenzi kama nyumba ya ukubwa huo imeshakula 50millions na hujafikia hata kupiga plaster basi amini usiamini fundi wako au unayemwamini kukusimamia ujenzi atahamia kwenye nyumba yake akuache ukiwa bado kwenye nyumba ya kupanga.

Materials unaagiza kwa container kutoka ulaya au?sipo hapa kubishana nimekupa tahadhari tu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu ujenz unaongezeka garama kutokana na quality za material unayotaka kujengea ivi unajua square meter moja ya kigae cha romantile ni almost 18500 usibishe mkuu akikuambia ametumia 50m ni kutokana na aina ya materials alizotumia ww ukiezeka na simba dumu na mwenzio akiezekea roman tiles hamtakuwa na garama sawa za kupaua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni shida, na hapo umebananabanana na mafundi wa mitaani, umezunguka maduka kupata material za bei nafuu hadi karikaoo umeenda, ingejengwa na injinia hadi sasa ingekuwa inasoma milioni 100.
Mkuu si kweli kwamba ukijenga na injinia basi garama ya nyumba inaogezeka hii dhana tumenijengea tu kutokana na baadhi ya wataalamu wetu kutokua na intergrity yakutosha lkn cost za ujenz ni very common na realistic. Kwamfano square meter moja ya plaster ni 2500 mpk elfu 3000 tofali moja kujenga ni almost 400 mpk 550( km sijakosea i am not sure kuhusu current makert price)km mmepigiana hesabu vizur na materials umenunua ww na bei za labour charge ni common zina range ktk kiwango flan hapa utapigiwa wap?. Tena ukijenga na engineer unatakiwa ujenge at a low price zaidi tena yeye anafaa kukushaur the most economic way ujenge bila kuharibu quality ya nyumba yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si kweli kwamba ukijenga na injinia basi garama ya nyumba inaogezeka hii dhana tumenijengea tu kutokana na baadhi ya wataalamu wetu kutokua na intergrity yakutosha lkn cost za ujenz ni very common na realistic. Kwamfano square meter moja ya plaster ni 2500 mpk elfu 3000 tofali moja kujenga ni almost 400 mpk 550( km sijakosea i am not sure kuhusu current makert price)km mmepigiana hesabu vizur na materials umenunua ww na bei za labour charge ni common zina range ktk kiwango flan hapa utapigiwa wap?. Tena ukijenga na engineer unatakiwa ujenge at a low price zaidi tena yeye anafaa kukushaur the most economic way ujenge bila kuharibu quality ya nyumba yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mainjinia nasikia wanaweka gharama kubwa ili wabaki na faida ya kutosha, labda matajiri ndo wanamudu aina hiyo ya ujenzi ya kuwatumia mainjinia
 
Fundi wa Gypsum kakutoza ngapi kama waweza nisaidia namba za fundi PM
Kila kitu nanunua mwenyewe mkuu, yani fundi labda atanipiga kwenye ufundi tu.
Pia kumbuka bei zinatofautiana kulingana na sehemu ulipo. Mimi sehemu nilipo hiyo ndio bei yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom