Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Umeweka bati la vigae nn? Hongera sana
 
Kama somo linavyojielewa hapo juu

Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.

Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.

Floor bado, blandaring, je sijapoteza?

Asante sana


Si poa kuita nyumba yako kibanda. Hiyo haijatulia kwa kweli.
 
Mleta Mada utakua dalal Kuna nyumba unataka uishushe bei na. Mwenye nyumba yupo umu ivyo umeanzisha uzi ili ajue ujenzi bei nafuu wewe nyumba gani ambayo umeilezea apo uijenge kwa hela io???
 
FAHAMU MAKISIO YA GHARAMA ZA UJENZI WA NYUMBA YAKO (+255-657-685-268)

Fahamu gharama ujenzi wa nyumba yako kwa kila steji kama MSINGI, KUTA, PAA, RANGI, DARI, MAJI, UMEME... ili uweze fanya tathimini ya uwezo wako kama upo chini au juu sanaaa na uanze kuweka mipango mikakati vyema ya kuweza kufanikisha ujenzi wa nyumba yako!
20210529_124307.jpg
 
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Wanasema wametumia 12 Million na msingi bado haujakamilika. Hivyo wanaendelea kupanga miezi 6 mingine.
Hivi kweli mtu aliyepanga akiwa na million 12 anashindwa kuingia kwake?
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Watu kweli wanapiga kamba, kama hivyo vyote haujafanya hiyo pesa umetumia katika nini? Kama nyumba ni ya ghorofa ungeweka wazi. Eti finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Bado. Kwa hapo maana yake ni gofu. Labda kama umetunza pesa taslim chini ya msingi. Kisha ukaingiza katika gharama za ujenzi.
 
Watu kweli wanapiga kamba, kama hivyo vyote haujafanya hiyo pesa umetumia katika nini? Kama nyumba ni ya ghorofa ungeweka wazi. Eti finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Bado. Kwa hapo maana yake ni gofu. Labda kama umetunza pesa taslim chini ya msingi. Kisha ukaingiza katika gharama za ujenzi.
Jenga hata banda la kuku ndo utauelewa ujenzi ndugu...
 
Duuh [emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119]
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
 
..............Unaniwekea maneno mdomoni hakuna niliposema kwamba unaweza kumaliza nyumba ya vyumba vitatu kwa mil12 hata huyu aliyeleta mada yake hajasema kamaliza nyumba kwa bei hiyo!

Brother ninachokataa mimi ni kujenga boma kwa hela nyingi kama ulizotaja,finishing ndo inayoingia hela nyingi kwenye ujenzi na itategemea materials utakazoweka na kule utakakonunua mf:ukiingia kwenye Hardware za NABAKI gypsum board za Gyproc grade 1 kutoka Thailand wanauza 1 TSH 27,500/= wakati hiyo hiyo mtaani 18,000/= same kwenye tiles so tungekuwa tunabishana finishing saa hizi tusingekuwa hapa,kujenga boma hakuna complications nyingi.ushauri wangu kaa chini piga tena hesabu zako hizo gharama unazosema umetumia wewe umepigwa,kumbuka mimi nipo kwenye action naandika nachokijua.

Ila nitakuachia point tatu uchukue wewe kama hukuniwekea hata paa la nyumba yako iliyotumia gharama kubwa kiasi hiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa, Kati ya boma na boma gharama hazipishani sana. Tofauti ipo katika finishing. Tiles box bei sh 25,000 kwa sh 70,000 yaani Tz kwa Spain. Sqm zile zile. Sinki(Choo) 20,000 kwa laki 5. Sasa mtu hajafika katika finishing anakuja na gharama kubwa sana.
 
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Mkuu umeamua kutuchana live bila chenga
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Duuh Nyie ndio mnatukatisha tamaa. Nayway sio lazima nijenge kama yako. Ngoja mimi nipige zangu hii hii ya banda la kuku kama mnavyoita.
 
..............Unaniwekea maneno mdomoni hakuna niliposema kwamba unaweza kumaliza nyumba ya vyumba vitatu kwa mil12 hata huyu aliyeleta mada yake hajasema kamaliza nyumba kwa bei hiyo!

Brother ninachokataa mimi ni kujenga boma kwa hela nyingi kama ulizotaja,finishing ndo inayoingia hela nyingi kwenye ujenzi na itategemea materials utakazoweka na kule utakakonunua mf:ukiingia kwenye Hardware za NABAKI gypsum board za Gyproc grade 1 kutoka Thailand wanauza 1 TSH 27,500/= wakati hiyo hiyo mtaani 18,000/= same kwenye tiles so tungekuwa tunabishana finishing saa hizi tusingekuwa hapa,kujenga boma hakuna complications nyingi.ushauri wangu kaa chini piga tena hesabu zako hizo gharama unazosema umetumia wewe umepigwa,kumbuka mimi nipo kwenye action naandika nachokijua.

Ila nitakuachia point tatu uchukue wewe kama hukuniwekea hata paa la nyumba yako iliyotumia gharama kubwa kiasi hiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo haya wewe ni mjengaji achana na hawa wenye uzoefu kwenye nyumba za kaka zao na wajomba zao.
 
Duuh Nyie ndio mnatukatisha tamaa. Nayway sio lazima nijenge kama yako. Ngoja mimi nipige zangu hii hii ya banda la kuku kama mnavyoita.
Mkuu unaweza kuta nyumba ramani ile ile na ukubwa ule ule moja imetumia mil 50, nyingine imekula mil. 200 kutegemea na eneo, ubora wa materials na aina za mafundi au injinia.
 
Hongera Sana...mi nimejenga the same house ila sitting kubwa na master kubwa,.choo Cha public ndani ,jiko na store ila nadhan..na nimeweka grill ya madirisha na milango kote...nahisi 14-15M ishatembea na hata jamvi,Wala blundering Wala system ya maji sijaweka..

Ukimuona mtu anaringa na nyumba yake muheshimu aisee..nyumba sio lele Mama.
 
Mkuu unaweza kuta nyumba ramani ile ile na ukubwa ule ule moja imetumia mil 50, nyingine imekula mil. 200 kutegemea na eneo, ubora wa materials na aina za mafundi au injinia.
kweli. muhimu katika yote kujenga ni akili sana. Unatakiwa wewe mwenyewe ushiriki kikamilifu. Lakini jambo lingine la Msingi ni Rational use of resources. Engineer mwingine kwa kutaka sifa anakupangia vitu vyenye gharama kubwa ambavyo sio lazima. Mfano hata hospitali unaweza kwenda una maumivu ya mguu ukapewa dawa za elfu 30 wakati panadol ya elfu moja na miatano zilikuwa zinatosha kuondoa maumivu hayo hayo na bila madhara yoyote
 
Back
Top Bottom