Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye nyumba akiweka mnyambulisho na mlinganyo wa gharama jinsi alivyo jenga hiyo nyumba kwa kiwango cha fedha alicho sema na mimi najenga yangu kesho asubuhi na mapema.
Maeneo ya dumila, msimba, mkata, kimamba hadi kilosa tofali ya kuchoma sh 50 ndiobei yake mkuu na nimeshachomesha sana.Wapi huko mkuu?
Maana morogoro wanachoma sana tofari na bei ya jumla ni kuanzia 120-180.
Huko kwenye tsh50 sijui ni wapi!
Hii ni nyumba ya mashine ya kusaga au kuishi watu?
Hii ni nyumba ya mashine ya kusaga au kuishi watu?
Ahaaa!Maeneo ya dumila, msimba, mkata, kimamba hadi kilosa tofali ya kuchoma sh 50 ndiobei yake mkuu na nimeshachomesha sana.
Umeijenga wapi? Hebu tusaidie kwa kuweka mchanganuo na ina vyumba vingapi? Kwani kwa uzoefu wangu hiyo hela ni ya foundation tuu kwa nyumba ya kawaida kwa Dar, otherwise haitoshi hata foundation. Kiwanja je?
Sio fisadi mimi m4c with no apology, nyumba haina tiles? nyumba haina gypsum? nyumba haina aluminium? nyumba haijaezekwa msouth? nyumba haina fence? nyumba haina garden au perving blocks? nyumba choo cha nje?Mafisadi kwa dharau hatuwawezi sawa bana
Yah, mfanyakazi si analala humohumo?Kwenye machine ya kusaga unafunga 'UNGO?
Kila mtu successful kwako ni fisadi, wewe ndo fisadi wa fikra/Hii thread inatuonyesha mafisadi dhahiri
Kila mtu successful kwako ni fisadi, wewe ndo fisadi wa fikra/
wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.
Umeibiwa. Gharama ya hiyo nyumba siyo zaidi m3 na nusuwakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.
Sio fisadi mimi m4c with no apology, nyumba haina tiles? nyumba haina gypsum? nyumba haina aluminium? nyumba haijaezekwa msouth? nyumba haina fence? nyumba haina garden au perving blocks? nyumba choo cha nje?
Umeibiwa. Gharama ya hoyo myumba siyo zaidi m3 na nusu
Umeibiwa. Gharama ya hoyo myumba siyo zaidi m3 na nusu
Bei ya kiwanja umepiga hesabu?