Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar, sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.
Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.