Nimejifanya sina sehemu ya kulala wala pesa, muhudumu wa basi kanikaribisha kwake

Nimejifanya sina sehemu ya kulala wala pesa, muhudumu wa basi kanikaribisha kwake

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar, sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.

Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.

Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
 
Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa bas nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo alafu mzigo mashaallah!! tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 6 usiku nikajifanya mm mgeni Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yyte nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini mm nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.

Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale
Kweli unahitaji kuombewa.
 
Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa bas nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo alafu mzigo mashaallah!! tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 6 usiku nikajifanya mm mgeni Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yyte nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini mm nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.

Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Utaf......rwa leo
 
Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah!! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.

Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.

Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
angalia usipelekwe muhimbili kupimwa shauri yako
 
Back
Top Bottom