Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu huwez amini demu anakoroma tu kitandani sasa hivi mm usingz hata haupo na sidhani kama nitalala.Mwana yupo ananyandua saiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu huwez amini demu anakoroma tu kitandani sasa hivi mm usingz hata haupo na sidhani kama nitalala.Mwana yupo ananyandua saiz
Usiku atageuzwa dereva wa fisi🤣Shauri yakoo😀😀
ok,we endelea kuvizia bila wewe kujua unaviziwa hako kakibunda kako ka laki moja,Typing error mkuu saa 5 I meant
Sidhani kama naweza PATA usingz naweza amka asubhi nikakuta kibunda hakipo namsikilizia anavyokoroma na inaonekana kachoka sana maana amejitups kitandani hata dk 20 hazijapita usingz umempitiaok,we endelea kuvizia bila wewe kujua unaviziwa hako kakibunda kako ka laki moja,
ukiamka asubuhi unamavi tu na ulisema hauna pa kufikia hata hela yq lodge huna
Sijakutana naye usiku Bali Toka mchana tunaanza safar Darmwanamke uliekutana nae saa 6 usiku huyo ni mdangaji tu.
Una mafuta + zana za kujihami?!Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah!! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.
Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Amini nakuambia inawezekana kabisa, safar ya masaa karibu 8 kwenye bus mbona inatosha kufaamiana ukizangatia nilikuwa nimekaa Siti ya mbele kwahiyo muda wote wa safar yupo pembeni yanguBado sijaelewa mkutane tu ghfla ukalale kwake. How come? Tena utoke Dar?
Mzee kama ni kweli wewe lala. Asubuhi uamke uende kwenye shughuli zako.
Mchuzi bila salt haunogiulivvyoshuka stand mida ya saa 6 usiku!!!!!?
na sahivi ni saa 5 au unaota jombaa,
piga nyeto jombaa hakuna vya bure kiasi hicho hapa mjini
Mrejesho tafadhali!Amini nakuambia inawezekana kabisa, safar ya masaa karibu 8 kwenye bus mbona inatosha kufaamiana ukizangatia nilikuwa nimekaa Siti ya mbele kwahiyo muda wote wa safar yupo pembeni yangu
Nashukuru Mungu sijamgusa japo alionyesha Kila dalili ya kunishawishi nimle ila nimeheshimu msaada alionipa kikubwa tumetoka wote na kupata supu chapati.Mrejesho tafadhali!
Reciprocity bhana..Nashukuru Mungu sijamgusa japo alionyesha Kila dalili ya kunishawishi nimle ila nimeheshimu msaada alionipa kikubwa tumetoka wote na kupata supu chapati.
Atakua Dada wa Bus la Nacharo huyo!!Sijakutana naye usiku Bali Toka mchana tunaanza safar Dar
Fisi nakuonaReciprocity bhana..
Mtu amekukirimu na wewe anaachaje kuwa mkarimu kwake?!
Ungemheshimu ungemla aisee[emoji16]
Hii naona kama Imekaa vizuri vile.Reciprocity bhana..
Mtu amekukirimu na wewe anaachaje kuwa mkarimu kwake?!
Ungemheshimu ungemla aisee[emoji16]
Habari yako ndugu mtumishi..[emoji119]Nashukuru Mungu sijamgusa japo alionyesha Kila dalili ya kunishawishi nimle ila nimeheshimu msaada alionipa kikubwa tumetoka wote na kupata supu chapati.