Nimejifanya sina sehemu ya kulala wala pesa, muhudumu wa basi kanikaribisha kwake

Nimejifanya sina sehemu ya kulala wala pesa, muhudumu wa basi kanikaribisha kwake

Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar, sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.

Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.

Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Unamsubiri yeye ni mkeo😂
 
Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar, sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.

Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.

Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Huna tofauti na mbakaji, ungetongiza sio kuvizia
 
Nashukuru Mungu sijamgusa japo alionyesha Kila dalili ya kunishawishi nimle ila nimeheshimu msaada alionipa kikubwa tumetoka wote na kupata supu chapati.
Hongera kwa kuushinda ujinga
 
Huna tofauti na mbakaji, ungetongiza sio kuvizia
Kwan nimemfanya nini? Nimeenda kwake nikalala mpaka asubhi tena chini sakafuni yeye kwenye kitanda chake hata kumgusa sijamgusa kwann uniite mbakaji?
 
Habari yako ndugu mtumishi..[emoji119]
[emoji23][emoji23] nzur kabisa chief ujue wengine tumelelewa vyema kuwaheshimu dada zetu kwahiyo tuvitu tudogo kama hivyo havinisumbui japo inahitaji moyo wa chuma
 
Kwan nimemfanya nini? Nimeenda kwake nikalala mpaka asubhi tena chini sakafuni yeye kwenye kitanda chake hata kumgusa sijamgusa kwann uniite mbakaji?
Soma hapo juu nimekupongeza...nilikuwa sijasoma mrejesho
 
Hii hadithi yako ina epsod ngapi niinunue ili niwe nawadanganyia wajukuu zangu!

Naona umri unanikimbia ila stori za uongo sina za kudanganyia wajukuu! 😱
 
....
 

Attachments

  • _20230130_200043_1.JPG
    _20230130_200043_1.JPG
    19.1 KB · Views: 7
Back
Top Bottom