Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kweli unahitaji kuombewa.Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa bas nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo alafu mzigo mashaallah!! tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 6 usiku nikajifanya mm mgeni Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yyte nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini mm nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale
Utaf......rwa leoNimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa bas nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo alafu mzigo mashaallah!! tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 6 usiku nikajifanya mm mgeni Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yyte nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini mm nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Typing error mkuu saa 5 I meantulivvyoshuka stand mida ya saa 6 usiku!!!!!?
na sahivi ni saa 5 au unaota jombaa,
piga nyeto jombaa hakuna vya bure kiasi hicho hapa mjini
angalia usipelekwe muhimbili kupimwa shauri yakoNimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah!! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.
Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest Sina( japo mfukoni Nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu akanijibu "twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani" nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Anaonekana wa kuja hii mida ya mabasi ya Songea.. Hawezi kula mzigo kizembe ivo.Mwana yupo ananyandua saiz
Ndio maana nikasema mniombee.anamgoma huyo si kwa urahisi huo