Unamsubiri yeye ni mkeo😂Nimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar, sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.
Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Huna tofauti na mbakaji, ungetongiza sio kuviziaNimefika mkoa mmoja hapa kutoka Dar, sasa muhudumu wa basi nimetokea kumuelewa sana maana ni mrembo halafu mzigo mashaallah! Tulivyoshuka stand ya bus mida ya Saa 5 usiku nikajifanya mimi mgeni.
Sina sehemu ya kulala na pesa ya guest sina (japo mfukoni nina laki 1) anisaidie sehemu yoyote nijiegeshe tu, akanijibu, "Twende kwangu nimepanga chumba kimoja Master utalala chini, mimi nitalala kitandani." Nikamwambia sawa haina shida japo kichwani mwangu kumejaa mawazo ya kishetani.
Ndio kaenda kuoga nipo namsubiri atoke tulale.
Hongera kwa kuushinda ujingaNashukuru Mungu sijamgusa japo alionyesha Kila dalili ya kunishawishi nimle ila nimeheshimu msaada alionipa kikubwa tumetoka wote na kupata supu chapati.
Kwan nimemfanya nini? Nimeenda kwake nikalala mpaka asubhi tena chini sakafuni yeye kwenye kitanda chake hata kumgusa sijamgusa kwann uniite mbakaji?Huna tofauti na mbakaji, ungetongiza sio kuvizia
[emoji23][emoji23] nzur kabisa chief ujue wengine tumelelewa vyema kuwaheshimu dada zetu kwahiyo tuvitu tudogo kama hivyo havinisumbui japo inahitaji moyo wa chumaHabari yako ndugu mtumishi..[emoji119]
Soma hapo juu nimekupongeza...nilikuwa sijasoma mrejeshoKwan nimemfanya nini? Nimeenda kwake nikalala mpaka asubhi tena chini sakafuni yeye kwenye kitanda chake hata kumgusa sijamgusa kwann uniite mbakaji?
Ndio hivyo ishatokeaUnamsubiri yeye ni mkeo[emoji23]
Sawa mkuu.Soma hapo juu nimekupongeza...nilikuwa sijasoma mrejesho
matamanio Kila mmoja anayo ila tunatofautiana utu.Hii naona kama Imekaa vizuri vile.
Hujalazimiahwa kuamini mkuuHii hadithi yako ina epsod ngapi niinunue ili niwe nawadanganyia wajukuu zangu!
Naona umri unanikimbia ila stori za uongo sina za kudanganyia wajukuu! 😱