Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Endelea kujificha mkuu, siku ingine utumie akili ukiachana na mtu! Acha ushambaNilimuacha kwa nyodo,kuna kipindi nilikua poa kiuchumi.si unajua tena ukishika pesa huku bado kijana mdogo.
Sasa hivi nimefulia
V8 new model ndio gari gani?
Kweli v8 new model alfu aje kila siku kununua sukari na chumvi jmn acha story zako Kam ni kweli mbona ujasema bidhaa alizonunua eti 30 alfu Ni kaduka tu
Mtag mwenye duka lake.Kweli v8 new model alfu aje kila siku kununua sukari na chumvi jmn acha story zako Kam nikweli mbona ujasema bidhaa alizonunua eti 30 alfu Ni kaduka tu
Hata dompo kila siku hawez kuw ndio ananunua kila siku
Hapo huna cha kufanya labda akumbuke mapigo yako Kama ulikuwa unapeleka Moto,Kwema ndugu zangu?
Jamani haya maisha yaacheni tu yaitwe maisha.
Kuna sehemu nina kabiashara kangu ka kuzugia ili siku ziende hapa mjini.
Sasa kikawaida asubuhi huwa namuacha kijana wangu anasimamia haka kabiashara then jioni kama hivi nikiwa nimetoka kwenye mishe zangu zingine naungana na kijana kusaidiana majukumu ya dukani.
Leo nimerudi zangu toka kwenye mizunguko,wakati nashuka kutoka kwenye bajaji ya kushare ili nielekee dukani kwangu,nikamuona mtu kama ex wangu anatoka kununua bidhaa ofisini kwangu bana, ikabidi nijifiche mahali kwanza nimpimie kama ni yeye au siye,kwa kweli yule dada ni ex wangu kabisa,kilichonisikitisha nimemuona anaingia na ku-drive v8 new model hapo ndipo nilipoona aibu kujitokeza hata kumsalimia coz binafsi sina hata usafiri,kaduka kenyewe mtaji ni milioni moja na ushehe.
So baada ya ex kuondoka nimeenda dukani,nikamuuliza dogo yule dada mnafahamiana,dogo kaniambia hawajuani ila toka mwanzo wa week hii anamuona kawa mteja wetu mzuri anakuja dukani anatuungisha vitu hata vya 30k kwa wakati mmoja.
Sasa wasiwasi wangu ni kwamba,huyu ex siku akinikuta mimi dukani itakuwaje maana for sure kipindi tunaachana nilikuwa vizuri sana kiuchumi,ila sasa ndiyo hivi niko juu ya mawe nimeyumba, nitamuangaliaje siku hiyo wakuu?
Naunga mkono hoja kapewa habari na rafiki wa jamaa kwamba fulani Ex wako kafuliaaa😂😂😂Kashajua kuwa hsko ni kaduka kako[emoji3]anakulia mingo tu akukute mwenyewe[emoji1476]
Afuu bado ya moto[emoji477][emoji477]Chai [emoji1]
Umeona eeh [emoji1787][emoji1787]Afuu bado ya moto[emoji477][emoji477]
Humu kunatafutwa likes, comments, na attention basi...mtu anajifungulia uzi tu, vitu havina hata uhalisia[emoji1787][emoji1787]Umeona eeh [emoji1787][emoji1787]
Nani kasema kila siku?Kweli v8 new model alfu aje kila siku kununua sukari na chumvi jmn acha story zako Kam nikweli mbona ujasema bidhaa alizonunua eti 30 alfu Ni kaduka tu
Hata dompo kila siku hawez kuw ndio ananunua kila siku
Na wewe fungua upate hizo likes kama ni dili kwa upande wako.mbona rahisi tu!Humu kunatafutwa likes, comments, na attention basi...mtu anajifungulia uzi tu, vitu havina hata uhalisia[emoji1787][emoji1787]