Nimejificha baada ya kumuona Ex girlfriend anaendesha V8 new model

Hapo huna cha kufanya labda akumbuke mapigo yako Kama ulikuwa unapeleka Moto,
 
Usimkimbie tena, kuwa imara kama mwanamume na sio mwanaume. Hiyo ni hali ya katika harakati za mapambano.
 
Eti V8[emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Yaan jf bana
 
Umeona eeh [emoji1787][emoji1787]
Humu kunatafutwa likes, comments, na attention basi...mtu anajifungulia uzi tu, vitu havina hata uhalisia[emoji1787][emoji1787]
 
Asikutishe we mwanaume unaogopaje? Mademu wananijia nyingi simple sometimes ovu sana kupata vijimali kama hivyo Anakuchezesha tu psychologically mpuuze! Move on
 
Kweli v8 new model alfu aje kila siku kununua sukari na chumvi jmn acha story zako Kam nikweli mbona ujasema bidhaa alizonunua eti 30 alfu Ni kaduka tu

Hata dompo kila siku hawez kuw ndio ananunua kila siku
Nani kasema kila siku?
 
Humu kunatafutwa likes, comments, na attention basi...mtu anajifungulia uzi tu, vitu havina hata uhalisia[emoji1787][emoji1787]
Na wewe fungua upate hizo likes kama ni dili kwa upande wako.mbona rahisi tu!
 
Ukute kapelekeza, anakuja kukuonyeshea jeuri, dawa akija usimpongeze Wala kushoboka, salama inatosha Sana, na Wala husitangaze shida zako.
 
Mkuu lako dogo mimi nilikutanaga na ex wangu wa advance alikua na BMW X6 akanambia yake yani amebadilika amekua kisu hatari. Tukapiga piga stori kilichoniuma kuona dada wa kazi anakuja na mtoto anaita mama yaani daah niliishiwa pozi hapo nmemaliza chuo sina kitu nimepigika hatari.

Dada akachukua namba yangu hata mzuka wa kuomba kurudiana ulinikata coz nilijua ni mke wa mtu tayari naweza harib ndoa yake coz me nisingeweza kumwoa. Wanasema hakuna anayejua ya kesho.

Uzuri tuliachanaga vizuri na alikua anaonesha kunionea huruma na alikua tyr kunisaidia ila mimi jeuri nisaidiwe na dem? Hapana nilikaza hata simu zake nilikua sipokei namwonaga kwa mainsta tu anakula maisha mara hyatt, mara dubai maisha haya tupendane aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…