Nimejificha baada ya kumuona Ex girlfriend anaendesha V8 new model

Nimejificha baada ya kumuona Ex girlfriend anaendesha V8 new model

Mkuu usipate stress na mafanikio ya mwanamke

Jiamini,kama hukumtesa kipindi mnaachana huna haja ya kujificha, na wala usiwe na wivu, pambana na life lako.

Hongera kwa kua na bizness.
 
Katoa jicho huyo ndo maana ako anadrive iyo v8
 
We wala usimuwazie sanaaa na hilo v eite lake..kwanza magari yanasababisha ajali..jipe moyo tu
 
Hivyo vitu visikukutshe mkuu..madem wana michezo ya ajabu sanaa...kuna dem tulizinguana ile mbaya...juz kat hapa kanitafuta tuonane...ile nmefika kweny tukio kanijia na masimu mengi kama anamiliki hard ware tano mjin hapa huku ndan ya hizo cm kuna iphone ambayo kiuhalisia tu ilinipa picha kwamba ameiazima kwa rafiki zake ili aje anioshee...nlikuwa tu nacheka hadi nae akajishtukia kwamba nnacheka nn ilackumwambia chochote...nlimpima kwa kumwambia kuwa nachukua mdudu kitmoto..mara akaaanza kuzuga zuga kuwa sili...nkamwta mhudumu kaniandalia kilo moja na ndiz nne...cha ajabu ndo alikula hadi kakombeleza...kumbe nae njaa kali tu ila anatka kujipa status ambazo haziwez...usiogope mkuu..hilo gari kaazimishwa wala hana maisha yyte..hapo dukan anajua n kwako na huenda hata hilo gari anakodisha ili aje akuzuzue tu..hana jipya huyo
 
Naunga mkono hoja kapewa habari na rafiki wa jamaa kwamba fulani Ex wako kafuliaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Na labda kipindi hicho alimuachaga mdada kwa dharau za pesa zake[emoji3][emoji3]sipati picha siku akimkuta,

Siku ya kumkuta,mdada awe pamoja na bae wake[emoji23][emoji23]

Mbona mtu atatamani ajigeuze awe baby care ya jero
 
Kwema ndugu zangu?

Jamani haya maisha yaacheni tu yaitwe maisha.

Kuna sehemu nina kabiashara kangu ka kuzugia ili siku ziende hapa mjini.

Sasa kikawaida asubuhi huwa namuacha kijana wangu anasimamia haka kabiashara then jioni kama hivi nikiwa nimetoka kwenye mishe zangu zingine naungana na kijana kusaidiana majukumu ya dukani.

Leo nimerudi zangu toka kwenye mizunguko,wakati nashuka kutoka kwenye bajaji ya kushare ili nielekee dukani kwangu,nikamuona mtu kama ex wangu anatoka kununua bidhaa ofisini kwangu bana, ikabidi nijifiche mahali kwanza nimpimie kama ni yeye au siye,kwa kweli yule dada ni ex wangu kabisa,kilichonisikitisha nimemuona anaingia na ku-drive v8 new model hapo ndipo nilipoona aibu kujitokeza hata kumsalimia coz binafsi sina hata usafiri,kaduka kenyewe mtaji ni milioni moja na ushehe.

So baada ya ex kuondoka nimeenda dukani,nikamuuliza dogo yule dada mnafahamiana,dogo kaniambia hawajuani ila toka mwanzo wa week hii anamuona kawa mteja wetu mzuri anakuja dukani anatuungisha vitu hata vya 30k kwa wakati mmoja.

Sasa wasiwasi wangu ni kwamba,huyu ex siku akinikuta mimi dukani itakuwaje maana for sure kipindi tunaachana nilikuwa vizuri sana kiuchumi,ila sasa ndiyo hivi niko juu ya mawe nimeyumba, nitamuangaliaje siku hiyo wakuu?
You are just coward bro, ni aibu sana Kama mwanaume mwenzangu wewe kuleta story kama hii yani unaonesha hauko matured yani kwasababu ex wako ana V8 ukajibanza yani watu kama ww hamfai hata kua viongozi
 
Nilimuacha kwa nyodo,kuna kipindi nilikua poa kiuchumi.si unajua tena ukishika pesa huku bado kijana mdogo.
Sasa hivi nimefulia
Kwa Mwanamke Vita Ya Mashindano Inaanzia Hapa.

Mkuu Fanya Mambo Yako Maana Ndio Uhalisia Hakuna Kitakachobadilika.
 
Kwema ndugu zangu?

Jamani haya maisha yaacheni tu yaitwe maisha.

Kuna sehemu nina kabiashara kangu ka kuzugia ili siku ziende hapa mjini.

Sasa kikawaida asubuhi huwa namuacha kijana wangu anasimamia haka kabiashara then jioni kama hivi nikiwa nimetoka kwenye mishe zangu zingine naungana na kijana kusaidiana majukumu ya dukani.

Leo nimerudi zangu toka kwenye mizunguko,wakati nashuka kutoka kwenye bajaji ya kushare ili nielekee dukani kwangu,nikamuona mtu kama ex wangu anatoka kununua bidhaa ofisini kwangu bana, ikabidi nijifiche mahali kwanza nimpimie kama ni yeye au siye,kwa kweli yule dada ni ex wangu kabisa,kilichonisikitisha nimemuona anaingia na ku-drive v8 new model hapo ndipo nilipoona aibu kujitokeza hata kumsalimia coz binafsi sina hata usafiri,kaduka kenyewe mtaji ni milioni moja na ushehe.

So baada ya ex kuondoka nimeenda dukani,nikamuuliza dogo yule dada mnafahamiana,dogo kaniambia hawajuani ila toka mwanzo wa week hii anamuona kawa mteja wetu mzuri anakuja dukani anatuungisha vitu hata vya 30k kwa wakati mmoja.

Sasa wasiwasi wangu ni kwamba,huyu ex siku akinikuta mimi dukani itakuwaje maana for sure kipindi tunaachana nilikuwa vizuri sana kiuchumi,ila sasa ndiyo hivi niko juu ya mawe nimeyumba, nitamuangaliaje siku hiyo wakuu?
Badilisha location ya duka, kama liko Kinondoni basi lihamishie Manzese. Huko hamuwezi kuonana tena!
 
Ni ujinga kuanza kushindana na ex kwa kumuonyeshea vitu nk,, utoto tu
 
Back
Top Bottom