Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbususu ni nn? Uko na hasira na gari mbususu for? Kuna wengine mbususu ni kitu haiwapotezei mda kabisa ni vya kawaida status mtaani itakuja tu auto mwenye hela anajulikana IST status 😂Status ama hadhi Iko juu Sasa hivi Mana gari na anakula mbususu effortlessly.
Kuna mambo tunafanya na sie tupate heshima kwa jamii yetu tuishio, Kila mtu ana hitaji lake moyoni mwak
Tofautisha mkopo wa kujenga kiwanda na kununua IST. Ni mbingu na ardhi Mkopo wa kujenga kiwanda utajilipa wenyewe kiwanda kikianza kazi ila IST ya Mkopo kwa ajili ya kutembelea ni kujichimbia kaburi refuu la madeni.Bila kukopa Dangote asingejenga kiwanda cha Cement Mtwara
Tamaa ya kutaka kuonekana kwa kumiliki gari. Mpe poleMaisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.
Huyo alikarili akiwa na chuma atapiga sana totoz kwaiyo akaamua kufosi King 👑Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.
Alafu unakuta huyo ni mwalimu wa hesabu kakopa 🤣Waalimu huwa wanafundishwa kozi ya ujinga kwa siri wakiwa vyuoni? Hakuna mtu makini atachukua mkopo bila kupiga vizuri hesabu za riba. Na inajulikana ukilipa mapema ndo riba inakuwa ndogo. 10m kuilipa kwa 6yrs ni umaskini uliokithiri.
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝Mkopo chukua kwa ajili ya kupanua biashara ambayo ndio itaulipa huo mkopo au kujenge kiwanda au business complex sio nyumba ya kuishi (Nyumba ya kuishi chukua mkopo tu wa kumalizia uhamie uachane na faza Hauz sio kuanza msingi) au gari la kutembelea.
People are programmed to take pride on consuming but not on investing.Tofautisha mkopo wa kujenga kiwanda na kununua IST. Ni mbingu na ardhi Mkopo wa kujenga kiwanda utajilipa wenyewe kiwanda kikianza kazi ila IST ya Mkopo kwa ajili ya kutembelea ni kujichimbia kaburi refuu la madeni.
ChaiMimi ni bingwa wa kukopa ila ni bingwa wa kulipa pia
Kuna kozi ya ujinga wanafundishwa kwa siri. Serikali ichunguzeAlafu unakuta huyo ni mwalimu wa hesabu kakopa 🤣
Asante kwa ushauri,mimi pia ilikuwa nimepanga kukopa,na nimeshaambiwa nitalipa mara 2 yake.Umenishtua.Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.