Yaani mtu ajenge nyumba halafu useme ametumia mkopo kwenye vitu visivyo na faida?Watu wengi wanajidanganya eti huwezi kuendelea bila kukopa. Kimsingi unakopa ili uzalishe uweze kulipa riba na wewe kubaki na faida.
So kabla ya kukopa piga hesabu. Riba ni shs ngapi kwa mwezi? Je utapata faida ya kiasi gani kwa mwezi? Je faida ni kubwa kuliko riba?
Kama faida ni kubwa kuliko riba unaweza kukopa.
Sasa tatizo la watu wengi wanakopa wanaenda kutumia mikopo kwenye vitu visivyo zalisha kama kununua gari au kujenga nyumba.
Anakopa akanunue gari wakati huo anategrmea mshahara kutunza gari na familia, na mkopo hawa ndo wale ukiwaomba 10k wanaosema mwisho wa mwezi.Kukopa sio shida, unakopa kwaajili ya kitu gani?
Na anaweza kupata zaidi ya 30k kwa siku akiamua kukomaa.Wazo zuri kama atalifanyia kazi. Ikimuingizia faida at least elf 8-10 kwa siku ni nafuu sana kupoza makato yake ya benki.
Wengi wa staffs wenzangu waliochukua mikopo kwa mambo mbalimbali, hakuna walilofanikisha, tuko nao level moja, ila wao stress ya mikopo inawatesa.
Kuna Theory inasema hiviii: "99% ya employees huwa wana idea ya ujasiriamali pindi wanapoajuriwa, na wengi huingia kwenye ujasiriamali. Lakini ni 1% tu ndiyo hufanikiwa kujikwamua kiuchumi".
Ila Kuna muda walimu tunazingua,Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.
Ujinga huo afundishe nani?Waalimu huwa wanafundishwa kozi ya ujinga kwa siri wakiwa vyuoni? Hakuna mtu makini atachukua mkopo bila kupiga vizuri hesabu za riba. Na inajulikana ukilipa mapema ndo riba inakuwa ndogo. 10m kuilipa kwa 6yrs ni umaskini uliokithiri.
Bora angebeti,mabenk yapo kwa ajili ya kuwafilisi watumishi.
Nmb na crdb bila watumishi wa serikali zingeshajifia.
Ntaanza kuishi kama chokoraaHio Passo itarudishaje pesa ya huo mkopo au ndio utaanza kuishi na mateso ya kulipia mkopo?
Kuna mtu nilimwambia kuhusu hili. Akanijibu: "Bora Ndugu wazitafune kuliko watu baki“Watumishi wengi wanakopa kisha wanafungua biashara wanaweka ndugu zao ili waongeze kipato wanapigwa kwa kukosa usimamizi then wanalipia hewa
Mbinguni nyumba zipoWaache wakope tu, mbinguni hakuna kuendesha magari au kumiliki nyumba.
Hii chai kama chai nyingine 😂😂Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.