Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Samaki uliyemla jana, anaishi kwenye nyumba gani mbinguni?Mbinguni nyumba zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samaki uliyemla jana, anaishi kwenye nyumba gani mbinguni?Mbinguni nyumba zipo
Point yangu ilikua mtu wa degree anashindwa kutafuta maarifa anaanza kuongea vitu vya ajabu bila taarifa sahihi.Sio degre holder
degree si shida degree ya pharmacy huwezi fananisha na degree ya mtu wa account fieldya fedha ni sawa na field ya health account hajui kitu naye mpharmasia anashangaa hujui hii,,,, shida haianzii hapo isitoshe kuna baadhi ya degree holder hawajui hata UTT ni nn na ni field za business na accounting,,, vitu vingine vinahitaji uwezo binafsi kufatilia mambo hzo lbl sijui kuzijua ni rahisi sababu ya nguvu kubwa wanaotumia washawishi watu wenye akili fup, wavivu kufanya kazi na wanaopenda mitelezo walainike
Mwambie asirudi nyuma, kuwa na gari siku izi ni symbol of status, iyo inampa confidence ya mafanikio zaidi. Emu piga picha umeenda kwenye kikao Cha familia na gari uku na funguo unairusharusha inapendeza sana.Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.
hatari yake ni niniMadeni ni hatari sana
Mkuu,Umeulizwa swali moja zuri sana.
Kuna mwalimu mkuu mmoja alikuwa na notion kama ya huyu mwamba hakuwahi kukopa ila alikuwa na maisha magumu kuliko hata wenye mikopo. Akiitwa kwenye vikao katani anatembea kwa miguu kwenda katani zaidi ya km 7, hana hata TVS.
Wakati mwingine kukopa ni security, kazi zenyewe za watu hizi. Kuna mwamba mmoja alipona kufukuzwa kazi kisa tu alikuwa na mkopo mkubwa benk m 20+.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Na IST 😂 kweli hio family,,,kuna family wanakwambia magari yasiyoidhinishwa yasiletwe kupunguza jam ndo hzo kwanza ualimu tu niumasikini 😂 umtishe nani ISTMwambie asirudi nyuma, kuwa na gari siku izi ni symbol of status, iyo inampa confidence ya mafanikio zaidi. Emu piga picha umeenda kwenye kikao Cha familia na gari uku na funguo unairusharusha inapendeza sana.
Hesabu zako sio sahihi kama umekopa 10m kwa riba ya 16% kwa miaka 6 marejesho hayafikii laki 3! Check your calculations!Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.
Uongo..Kama kweli, tutajie hiyo benki tucheki kwenye mfumo wa ESS utumishi.Ukikopa milioni 20 kwa miaka tisa utarejesha milioni 60.
Hadi unastaafu umewafanyia kazi wao
Kama we unayo hiyo elimu fedha iweke hapa tujifunze.Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha.
Mambo haya huwa yanawakumba sana watumishi wa serikali, hasa walimu. Watumishi wa sasa wengi wanatamani kuishi maisha ya ndoto zao, kama kumiliki nyumba nzuri, kuwa na magari, kuwa na miradi ya kuongeza kipato kama mashamba na fremu za biashara.
Kutokana na kuwa na mishahara ya wastani huku wengi wao wakiwa na extended family, hushindwa kujizuia na msukumo wao wa ndani wa kutaka kulazimisha mambo bila kujali wataathirika vipi.
Mfano, kuna jamaa yangu mmoja ambaye ni mtumishi wa serikali (mwalimu) alitaka kununua Toyota IST kwa bei ya Shilingi milioni 14. Alikuwa na Shilingi milioni 6 na alihitaji kukopa benki kiasi cha Shilingi milioni 10 ili aweze kukamilisha manunuzi yake.
Kwa sasa, karibu kila benki inatoza riba ya asilimia 16. Jamaa alishawishiwa achague muda mrefu wa malipo ili alipe kidogo kidogo, akaingia mkenge.
Kitu ambacho hakujua ni hiki: (72 ÷ riba), yaani (72 ÷ 16) = 4.5. Mkopo wowote kwa riba hiyo ukifika miaka 4.5 na kuendelea, utalipa mara mbili ya kiasi ulichokopa. Hivyo, kama alichukua milioni 10, atalipa milioni 20.
Sasa mwenzangu alichukua mkopo wa miaka 6 ili awe analipa Shilingi 300,000 kila mwezi. Aliposanuliwa kwamba atalipa mara mbili ya alichokopa, alichoka sana maana ilikuwa too late.
Hivi ninavyoandika haya, hana hamu ya kuendesha gari hilo, kwani anategemea mshahara pekee na gari halimuingizii pesa, bali linahitaji gharama za mafuta na matengenezo mbalimbali.
Watumishi mkumbuke kuwa serikali imewaajiri wenyewe, haijaajiri matumizi yenu.
Kwa haraka, pato lako kwa siku ni Shilingi 20,000. Hivyo, chunga matumizi yako, usijitumbukize kwenye mzigo wa madeni bila mpango.
Kiwanda cha Dangote kinamuingizia pesa.Bila kukopa Dangote asingejenga kiwanda cha Cement Mtwara
Kweli kabisa umeongea vyema muungwanaHili nalo mkalitizame
10M kulipa kwa miaka 6? Hata mie Jobless siwezi ingia mkenge huo.
Bora nife na umaskini wangu. Lol
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app