Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii huruma yako juu yao haiwaondolei kua Ni very risk kuwaoaPoleni Sana Single mothers. Hizi tuhuma ziko generalized Sana. Wako Single mothers well behaved. Bahati mbaya tu walikutana na wanaume wakatili wakawazalisha wakawaacha. Hivyo tuwaheshimu. Wanawake ni wengi nendeni mkatafute ambao siyo single mothers. Wako stressed na msiwaongezee stress nyingine. Wanaume wote Sisi ni watarajiwa wa dada au ndugu zetu wa kike single mothers maana ndoa za miaka hii ni mtihani Sana.
Kuna mmoja hapa kasema hataki kuzaa tena, tumfanyeje...Single mothers
Jukumu lake ni moja tu kuzalishwa na kuliwa ni watamu sana....
Kwenye trimmings wako Vzr
Wanajituma kitandani sana.
USIJE UKAOA SINGLE MOTHER.
Watchman"Mlinzi wa klabu ya Real Madrid" mimi nilijua security officer.
Na usithubutu kuoa single mama siku akikuambia nampeleka mtoto kwa baba yake jiandae kuchapiwaanakazia wengi wao hawaachani✍️
Basi oa ambao siyo single. Unajua let us be human first. Hao ni dada, shangazi, mabinti, binamu, mpwa n.k. Hivyo kitu kama ni kibaya kiache.Hii huruma yako juu yao haiwaondolei kua Ni very risk kuwaoa
Weka utaratibu mzuri wa mtoto kuonana na Baba yake. Inawezekana kabisa. Hata wewe unaweza ukawa ndiyo wa kumpeleka mtoto kwa baba yake kama ni mdogo. Unamuacha unamfuata baadaye.Na usithubutu kuoa single mama siku akikuambia nampeleka mtoto kwa baba yake jiandae kuchapiwaa
Ila hawaachani elewa ilo mwanamke akinembelezwa kidgo na akikumbushwa yaliyo pita anakubali mwenyewe labda umpate mke ambaye yupo seriously sana na ndoa yakeWeka utaratibu mzuri wa mtoto kuonana na Baba yake. Inawezekana kabisa. Hata wewe unaweza ukawa ndiyo wa kumpeleka mtoto kwa baba yake kama ni mdogo. Unamuacha unamfuata baadaye.
Acha basi masihara mkuuWeka utaratibu mzuri wa mtoto kuonana na Baba yake. Inawezekana kabisa. Hata wewe unaweza ukawa ndiyo wa kumpeleka mtoto kwa baba yake kama ni mdogo. Unamuacha unamfuata baadaye.
Pole kwa kuchapiwa singo maza wako mkuuNimekubali wazaz hawaachani enyi vijana tusijidanganye tukaoa single mamaView attachment 2655016
Akiwa mwafrika ndio anaitwa watchman,wazungu ni security officers.Watchman
Bitter truthUkisikia kupasha kiporo ndio hiyo. Hata kama waliparangana wakaachana na kupeana talaka ipo siku hasira zao zitaisha wakikutana watapeana mapenzi mazito. We uliooa single mother unatakiwa kufahamu umeoa mke wa mtu, vumilia siku ukiona jamaa anatuma matumizi kwa mtoto wake ujue huyo mama atapokea na akiombwa shoo atatoa bila kinyongo. Hutaweza kumbana asikutane na msela wake wa zamani kwa ajili ya watoto wao. Ukute jamaa anakata mpunga mrefu kuliko wewe utateseka sana, kama vipi vunga huoni na husikii ili uendelee kuishi na huyo single mother
Hahaha. Yaani watu tinaogopa kupigiwa kwa kuwa nasi runapiga ma ex siyo? Yaani ukiamua kuachana na mtu achana naye jumla. Inawezekana ukiweka. msimamo.Acha basi masihara mkuu