Nimejifunza wazazi hawaachani

Nimejifunza wazazi hawaachani

Ukisikia kupasha kiporo ndio hiyo. Hata kama waliparangana wakaachana na kupeana talaka ipo siku hasira zao zitaisha wakikutana watapeana mapenzi mazito. We uliooa single mother unatakiwa kufahamu umeoa mke wa mtu, vumilia siku ukiona jamaa anatuma matumizi kwa mtoto wake ujue huyo mama atapokea na akiombwa shoo atatoa bila kinyongo. Hutaweza kumbana asikutane na msela wake wa zamani kwa ajili ya watoto wao. Ukute jamaa anakata mpunga mrefu kuliko wewe utateseka sana, kama vipi vunga huoni na husikii ili uendelee kuishi na huyo single mother
Watu wakitengana hasira na chuki huwa zinaisha.

Ndio maana wakikutana wanapendana tena.

Hata kama waliachana wakiapiana kukatana mapanga after several years kila mtu anaanza kukumbuka mazuri waliyotendeana na kusahau mabaya.

Waliozaa pamoja wameungana kiroho moja kwa moja.

Kijana kama hujaoa usidanganyike.
 
Pia kuna uwezokano wa kubeba mimba kwa ex husband wake kisha akaja kuzalia kwako wewe new husband ukaendelea kulea watoto wasio wako. Bora kuoa mjane hakuna stress. Single mother ni wa kuwapatia uzao tu kuishi nao ni shughuli pevu kama si watulivu kwa mume mmoja
😅😅
 
Back
Top Bottom