didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.
Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.
Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.
MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.
Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.
MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.