Nimejikaza ila nimeshindwa

Nimejikaza ila nimeshindwa

Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Usioe mwanasiasa
 
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Usioe mwanasiasa
 
😂😂😂 kijana unaogopa jf watapublish uzi wako fesibuku.

Ila kiukweli hata mimi kuna baadhi ya kada ni kuacha waoane wao kwa wao ndio wataelewana zaidi. Mama yako yuko sahihi kwa kiasi fulani na points zake zina mashiko.

Mtu anaudanganya umma wa watu buku atashindwa vipi kukupiga kiswahili wewe, umewaza kuhusu ratiba za safari zake nk.
Na kingine wanasiasa huwa ni wabinafsi sana, baadhi yao wako radhi hata kuweka familia zao rehani kwasababu ya madaraka.

Ila kila la kheri mkuu.
 
😂😂😂 kijana unaogopa jf watapublish uzi wako fesibuku.

Ila kiukweli hata mimi kuna baadhi ya kada ni kuacha waoane wao kwa wao ndio wataelewana zaidi. Mama yako yuko sahihi kwa kiasi fulani na points zake zina mashiko.

Mtu anaudanganya umma wa watu buku atashindwa vipi kukupiga kiswahili wewe, umewaza kuhusu ratiba za safari zake nk.
Na kingine wanasiasa huwa ni wabinafsi sana, baadhi yao wako radhi hata kuweka familia zao rehani kwasababu ya madaraka.

Ila kila la kheri mkuu.
Ndo nipo nmekwama ila nitakuja na maamuzi mazuri mda sio mrefu nataka nijipe wiki mbili za mwisho za likizo yangu kulitafakri hili swala kwa kina
 
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Msikilize mama yako anaona mbali na ameishi kwingi..
 
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Tena wa mbogamboga
Subiri kuoa kipeperushi
Ndoa ni utapeli.
 
Nilimpemda sana binti mmoja pamoja na kuzaa nae lakini maza alikuwa hataki, nilidumu. Sana na binti na tulikuwa tunapendana sana..

Mahusiano mama alikuwa haingilii ila suala na kuishi nae alilipinga sana, nikajifanya mjanja nikaanza kuishi nae, haijapita miezi6 kilichonikuta.. nashukuru nime recover na life inaendelea..
Nadhani mleta madam kapata somo
 
Wanawake huwa wanajuana. Msikilize mzazi. Hakuna mama asiyependa mema kwa mtoto wake.

Usipende kufata ushauri wa mwanamke hasa kwenye masuala ya mahusiano ya kimapenzi.

Wewe ndiye unayemfahau vema kuzidi mzazi wako. Hatma ya maisha yako ipo mikononi mwako.


Utachagua aya ya kuruka nayo, 1,2 au 3.
 
Asiyefunzwa na mama hufunzwa na ulimwengu ,sikio lakufa halisikii dawa .endelea kushupaza shingo sehemu ambayo mzazi anaona unaenda kuangamia ,kuna siku utayakumbuka maneno ya mama yako .

Sikiliza nyimbo ya LUCKY DUBE _ MAMA itakufunza mengi , Lucky dube alipata mpenzi wakapanga kuoana , Dube akaona siyo mbaya ngoja amshilikishe mama yake ,Dube akampigia simu mama yake akamwelezea jambo lake huku akimmwagia mpenzi wake sifa kedekede kwa mama yake mzazi , mama Dube alimjibu mwanae "kuwa umechukua muda mzuri wakumsoma mwenza wako ? Dube akamwitikia mama yake nakusema ndiyo kwanza ni mtu mwema sana, basi buana akaoa ile kuishi wakapeana talaka ,Dube akarejea kwa mama kumweleza ila mama alimfariji mwanae tu huku Dube akijutia.

USHAURI FANYA MAAMUZI SAHIHI NDOA INAWEZA KUWA NDOANO BAADA YAKUPATA MTOTO MMOJA AU BAADA YAKUDHOEANA.
Ulichokiongea ni hiki hapa chini 👇👇

Dube alianza:..📢📢
I remember the day I called mama on the telephone
I told her mama
I'm getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling
And she asked me a question that I proudly answered
She said son did you take time to know her
I said mama she's the best
But today it hurts me so
To go back to mama and say mama
I'm getting divorced
Oh I'm getting divorced
This choice I made
Didn't work out the way I thought it would
This choice I made
It hurts me so mama
This choice I made
Didn't work out the way I thought it would
This choice of mine ohh

Mama said to me
It's not easy
To understand it son
But I hope you'll make it
You'll be happy again

Mara nyingi ushauri wa wazazi ni mzuri sana sema ujuaji wa vijana ndo unawagharimu
 
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Jibu ni rahisi,haoi mama yako unaoa wewe
 
Kwa navyomuona bimkubwa wako n lazima atakuwa na fake ID yake humu.
 
Usishupaze shingo. Kaa chini vizuri na mama muongee myajenge ndipo uoe usijejifanya mjanja ukadharau mausia ya mama
Ndoa ni yako. Hauoi kwaajili ya familia. Unaoa kwaajili yako. Mimi nashauri fuata moyo wako. Mama atakuja kukubali baadaye kuwa si kila umdhaniaye ndiye.


Mimi wakati naoa sikuwa vizuri na mama yangu, mahali nililipa mwenyewe, mke wangu nilishirikisha kila hatua baadhi ya mambo muhimu. Sasa mama anamheshimu kwasababu tupo na maendeleo yetu. Mke wangu anamjua mama vizuri so hata kuishi naye anaishi kwa tahadhari. As far anaishi kwake hiyo sisi ahitupi shida. Kikubwa tumiza wajibu wa kuisaidia familia yako na ya mke wako equally. Chochote unafanya kwenu fanya pia kwa mkeo and vice-versa.

Ushauri wangu wewe oa as far ndo ulipo penda oa. Usioe kwa kufurahisha watu utakuwa kichaa baadaye. Mwambie mkeo wakati mgumu unapitia ili mshikamane zaidi. Na mlinde mke wako. Kama yupo kwenye siasa mlinde kwa wivu mkubwa. Wanawake ni wepesi kuanguka. Lakini kwa kuwa ni kiongozi mkubwa as you Said naamini atajiheshimu sana
 
Back
Top Bottom