Nimejikaza ila nimeshindwa

Nimejikaza ila nimeshindwa

Unasema uzi usiende X au Instagram na unaamini vipi huyo mkeo mtarajiwa hana account humu?

Hujui watumiaji wa JamiiForums ni wengi sana ukiachilia wanachama wa kujisajili wengine huingia kama wageni [GUESTS] kupitia google wanaposearch vitu.

Kitu ukikiweka hapa ukae ufahamu fika ndio kimejulikana hivyo tayari, JF ni msitu mnene.
 
Unasema uzi usiende X au Instagram na unaamini vipi huyo mkeo mtarajiwa hana account humu?

Hujui watumiaji wa JamiiForums ni wengi sana ukiachilia wanachama wa kujisajili wengine huingia kama wageni [GUESTS] kupitia google wanaposearch vitu.

Kitu ukikiweka hapa ukae ufahamu fika ndio kimejulikana hivyo tayari, JF ni msitu mnene.
usijal hatouona
 
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Boss wanawake wanajuana, ukiona mama ako anampinga basi tilia maanani points zake japo sio lazima uzifuate
 
Ukiona mwanamke ni mwanasiasa na haijui jamii forums basi ni mnafki na mshirikina tu chawa wa ccm

Ushauri wangu....ongea na Maza vizuri kabisa mwambie kwann unampenda chawa wa mama mwambie jinsi gani chawa anakuelewa Nina uhakika mama yako ni muelewa sana.

Maendeleo hayana chama.
umejiongoza vibaya mkuu
 
Mtu ambaye yuko domant kiasi hicho hivyo vyeo anavipataje?

Kuna kitu Mama anakijua na hatakwambia face to face never.

Sasa wewe jichanganye uone😀
unajiongoza vbaya kwenye hili. kama ni wakuliwa ataliwa sehem yoyote maan hakuna sehem ambayo haina kupanda cheo
 
Wakuu nimeliweka moyoni na jaribu kulificha ila ngoja tushee labla mawazo chanya yatapatikana. Inshort natarajia kuoa japo ndoa yenyewe inapingwa kama katiba mpya na CCM na mpingaji ni mama yangu akidai hataki nimuoe huyu binti kutokana na shughuli yake.

Huyu binti ni mwanasiasa wa chama fulani na yupo na cheo fulani kwenye vijana kikubwa tu sitopenda kushea. Sasa mama yangu ni conservative anadai wanasiasa ni washirikina pia anaona kama kwenye kauli ndani ya nyumba na masuala ya mali atanisumbua.

Sasa inanisumbua kutokana mimi na mawasiliano mazuri na familia ya mwanamke na wananijali kinipigia sana hata kwenda kupata msosi ila mama yangu hajawahi hata kumpigia smu huyu mchumba wangu na akipigiwa anaweza asipokee au akipokea hataki kuongea kwa ushirikiano yaan kizungumkuti japo binti bado ana imani tutaoana tu.

MODS huu uzi usitumiwe kweny mtandao wowote tofaut na humu kwasababu mwenzangu atauona huko X na Instagram ila humu hana account na wala hajawahi ingia.
Japo umeficha ficha, ila kwa vyovyote vile hawezi kuwa mwanachama wa CHAUMA.
 
Mama huwa anamtakia mema mwanaye. Yafanyie kazi aliyokuambia mama then ufanye maamuzi.
 
Hekima ya Mungu itaniongoza. Sitompuuza mama ingali ndo mzazi pekee alieopo
hapo ndo unapofeli, unaweza ukawa na akili kuliko mzazi.
Yaani niache kutumia akili halafu nipangiwe na mzazi ndoa yangu, vipi kama mzazi ni Kataa ndoa?

Unachokifanya ni kumfurahisha mzazi, na ukioa hiyo itakuwa ni ndoa ya mzazi sio yako,

Kuna mwamba alikuwa na scenario kama yako akaoa mke anaye mtaka mama yake, mwamba wala hakuwa anamkubali mke wake bas tu alikuwa anamfurahisha mama yake yaani wale maza ndo ana control kila kitu,

akitibuana na mke wake, maza anatetea mke Mwamba ananywea ndoa inaendelea, bahati mbaya maza akaaga dunia, baada ya mazishi mke wake akawa analalamika toka mamamkwe afariki ndoya yao imekuwa na migogoro mwanaume hamsikilizi,

Watu wazima wakamwambia huyo mwanamke kuwa mume wake ameshafariki(yaani yule mama aliefariki ndo alikuwa mume wake)

Kweli jamaa hakutaka kuendelea na ile ndoa na akawa na uwezo wa kufanya maamuzi kuachana na huyo mwanamke(wasinge achana kama mama yake angekuwa mzima)

Na wewe unataka kufanya kitu kilekile,
 
Nilimpemda sana binti mmoja pamoja na kuzaa nae lakini maza alikuwa hataki, nilidumu. Sana na binti na tulikuwa tunapendana sana..

Mahusiano mama alikuwa haingilii ila suala na kuishi nae alilipinga sana, nikajifanya mjanja nikaanza kuishi nae, haijapita miezi6 kilichonikuta.. nashukuru nime recover na life inaendelea..
Wamama wana wivu sana,mimi aliwah kuniita na kuongea mimi kwa huruma sana na kuniambia ukimuoa huyo mwanamke hutaniona kwako,je utapenda nisije kwako mwanangu
 
hapo ndo unapofeli, unaweza ukawa na akili kuliko mzazi.
Yaani niache kutumia akili halafu nipangiwe na mzazi ndoa yangu, vipi kama mzazi ni Kataa ndoa?

Unachokifanya ni kumfurahisha mzazi, na ukioa hiyo itakuwa ni ndoa ya mzazi sio yako,

Kuna mwamba alikuwa na scenario kama yako akaoa mke anaye mtaka mama yake, mwamba wala hakuwa anamkubali mke wake bas tu alikuwa anamfurahisha mama yake yaani wale maza ndo ana control kila kitu,

akitibuana na mke wake, maza anatetea mke Mwamba ananywea ndoa inaendelea, bahati mbaya maza akaaga dunia, baada ya mazishi mke wake akawa analalamika toka mamamkwe afariki ndoya yao imekuwa na migogoro mwanaume hamsikilizi,

Watu wazima wakamwambia huyo mwanamke kuwa mume wake ameshafariki(yaani yule mama aliefariki ndo alikuwa mume wake)

Kweli jamaa hakutaka kuendelea na ile ndoa na akawa na uwezo wa kufanya maamuzi kuachana na huyo mwanamke(wasinge achana kama mama yake angekuwa mzima)

Na wewe unataka kufanya kitu kilekile,
nazidi kujifunza
 
Back
Top Bottom