Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mkuu uwezi amini dorry leo yupo batafly huko
Mkuu fanya uchek hii movie aiseeeMambo yako ni Mkanganyiko kukanganya
🤣🤣
Hhhhhhh pole sana bruh!!Mkuu uwezi amini dorry leo yupo batafly huko
Nkiwa free ntaichekiMkuu fanya uchek hii movie aiseee
Mkuu nipe jina la hiyo movie na mimi nilie kidogo.Nimejikuta natokwa na chozi baada ya kucheki huu mzigo aiseee
View attachment 3236682
Wakuu acha kabisa..
All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Yawezekana dory kamtosa.
Ulijikuta tu unabubujikwa na machozi kama Lucas Mwashambwa 😃😃Nimejikuta natokwa na chozi baada ya kucheki huu mzigo aiseee
View attachment 3236682
Wakuu acha kabisa..
All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Babe nakusalimu kwa jina la Jamuhuri!Ila mishangazi wana mbingu ya pekee yao. Hivi vitoto mie sisiviwezi.
Amini nakwambia hako katoto hakataweza kukupa mambo mazuri kama ya mashangazi, UTARUDI TUNimejikuta natokwa na chozi baada ya kucheki huu mzigo aiseee
View attachment 3236682
Wakuu acha kabisa..
All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Nakazia. Mishangazi.. ina A+Amini nakwambia hako katoto hakataweza kukupa mambo mazuri kama ya mashangazi, UTARUDI TU
Mwalimu yupo kagera mkuuHhhhhhh pole sana bruh!!
Mwalimu naye