Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Hilo la kutuacha mashangazi ni uongo 😎 hauna ubavu huo 😆All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo la kutuacha mashangazi ni uongo 😎 hauna ubavu huo 😆All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Mkuu bado ujakutana na hii kitu..Ahahaha, siwezi fanya hivyo.
Unanikosea sana mkuu..Mtoto wakiume kukaa unalialia kisa movie ni umama!
acha kuendekeza hisia ndo nyinyi mnajitupaga kwenye magorofa!Unanikosea sana mkuu..
Hata ingekua wewe ungelia
Ushakuwa babu Mwana!WTF? 2000?
2000 wengine tulikua tunafanya rap battles tunapiga maverse akina big punisher, Tupac, biggie, ice t, ice cube ...
Thelle ujue nimepigwa marufuku now kuwa na mashangaziHilo la kutuacha mashangazi ni uongo 😎 hauna ubavu huo 😆
Mkuu ukute wewe ndo wale wakiwekewa horror muvi mnapiga piga kelele mbele za watu....acha kuendekeza hisia ndo nyinyi mnajitupaga kwenye magorofa!
Uache hii mitakooo, narudia “huo ni uongooooooooo” unatunyonga kamba tu!Thelle ujue nimepigwa marufuku now kuwa na mashangazi
Then kuna special treatment napewa na haka katoto
Just imagine mtu ana...... Daaah weee mi nishawaacha amini kwamba
View attachment 3236877
Uache hii mitakooo, narudia “huo ni uongooooooooo” unatunyonga kamba tu!
Mimi huwa natuliza hao wanaopiga kelele tukiwa tunaangalia hivo horror movie!Mkuu ukute wewe ndo wale wakiwekewa horror muvi mnapiga piga kelele mbele za watu....
Mi ni mfatiliaji wa movie, mpaka nasema haya jua hiki kitu ni kweli na kimeliza wengi sana mi jana nilishindwa shika hisia zangu kwa hiki kitu..
Kingine kilichofanya nilie ni jinsi nilivyounganisha na matukio yangu mengine ya nyuma
Ila hivi vitoto huwa vya moto sanaView attachment 3236880
Nimeacha na hili ni onyo nimepewa na haka katoto 😁😁😁😁😁😁
Hii ndo lastly sipendi tena
Ila hivi visichana huwa vinawamudu sana, unapewa makatazo na unatii kwa adabu zote. Safi!View attachment 3236880
Nimeacha na hili ni onyo nimepewa na haka katoto 😁😁😁😁😁😁
Hii ndo lastly sipendi tena
Daaah kazi unayo mpka June huko 😂Mwalimu yupo kagera mkuu
Anywe sumu au apuliziwe dawa ya mbu Tena akae sawaYawezekana dory kamtosa.
sijawah mkuuMi ndo nimelia hata wewe ushawahi kulia
Subiri upigwe na kitu kizito urudi kwa mshangazi unalialiaMkuu kwanza huyu mtoto sio wa level za watoto wa tz
Amakweli afanye hivyoAnywe sumu au apuliziwe dawa ya mbu Tena akae sawa
Mimi nawe tuendeleee......Babe nakusalimu kwa jina la Jamuhuri!