Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Sijaangalia bado๐๐๐๐ Hiyo title ya movie wanazungumzia PAJAMA za kulalia au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaangalia bado๐๐๐๐ Hiyo title ya movie wanazungumzia PAJAMA za kulalia au
Unapenda kulia kwa kuangalia movie? Basi nakuongezea na hii'Mkuu nipe jina la hiyo movie na mimi nilie kidogo.
Pole sanaWote wameungua mkuu ๐ญ๐ญ๐ญ
Wee ndo maana kuna jukwaa walikufukuza hv hv๐๐๐ Hiyo title ya movie wanazungumzia PAJAMA za kulalia au
Usipolia nipo tayari kwa chochote kunifanya ๐๐๐Naipakua hapa Ole wako nisilie
Hii ni wakolea mkuuUnapenda kulia kwa kuangalia movie? Basi nakuongezea na hii'
Hachiko- A dog's Tale
Mkuu kuna zingine unazijua za kusikitishaPole sana
Nyingi sana kakaMkuu kuna zingine unazijua za kusikitisha
UnbrokenMkuu kuna zingine unazijua za kusikitisha
Nitajie kaka maana daahNyingi sana kaka
Mkuu wee una hatarr yaani nilivo ona hii mirlacle in cell no 7 daah hatarUnbroken
Miracle in Cell No. 7
The note book
The green mile
Run boy run
Slumdog Millionaire
The Ninth Day
Only Lovers Left Alive
Life Is Beautiful
25 yrs kwa makadirio ya haraka haraka kaingua kwenye dating pool akiwa na miaka 14 kwaiyo ana uzoefu wa miaka 10+ haka sio katotoKatoto ka afu 2 sasa hivi kana miaka 25, sio katoto, kwa haraka haraka katakuwa na miaka ya experience kati ya 7 mpaka 8
Ila mishangazi wana mbingu ya pekee yao. Hivi vitoto mie siviwezi.
Ahahahha wanaume wa kinondoni jau sana..Sio mwanaume wa Dar tu, ni mwanaume wa Kinondoni kitandani kwake kuna mdoli
Mashangazi ndo yenyewe mzee baba show ndefu yapo bienNimejikuta natokwa na chozi baada ya kucheki huu mzigo aiseee
View attachment 3236682
Wakuu acha kabisa..
All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Weee kusema ujalia ni uwongoni vile unataka mwenzako nizalilike nionekane tuu hovyo๐๐๐๐๐๐๐๐๐