Nimejikuta nawaonea wivu mkubwa mno Wakenya

Kenya na uchaguzi wao ni kitu ingine kabisa mno................ kwa kweli mbona wale wa ile club nao si walifanya uchaguzi tar sijui 2 au ngapi na sijasikia nani kashinda........ rally inafanyika week3 subamishi
 

😱 😱 😱 Haa! kwa posti hii lazima ukapimwe mkojo...
 
Ki ukweli kuna vitu hawa jamaa wakenya wametupiga gap, ila hulka zetu tu binadamu kukubali inakuwa ngumu.... Hongera kwao kwa zoezi la uchaguzi tangu campaign hadi hitimisho kwenye box la kura.

"A voice of one calling in the wildernes"
Na huu ndo ukweli,
Matanzania ni ya kubuluzwa tu.
Badilikeni matanzania mnaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Duh Toyota escudo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…