Tusipo kubali kupambana na hali yetu sisi kama Tanganyika, na kuendelea kukikumbatia ama kung'ang'ania Kisiwa cha Zanzibar (kama sehemu ya Muungano) wakati wenyewe hawana haja wala nia ya dhati katika kuulinda na kuuenzi Muungano wenyewe, tusitarajie Muujiza wa Chaguzi ya Haki na Amani Daima....!!
Tazama/fuatilia kumbukumbu ya Chaguzi zilizo pita....
Wazanzibari siku zote ndio jamii/sehemu ya watu wanatia dosari katika Uchaguzi wa Tanzania, na yote hii ni kwa sababu ya kulazimisha kutaka kuwatawala watu wanaohisi hawana faida na Muungano uliopo....!!
Achia Zanzibar ijitegemee, huku Bara tupambane wenyewe kuuondoa Utawala utakao onesha dhahiri hauendani sambamba na matakwa ya wananchi.
Kwa hatua na maamuzi haya, lazima katika nchi yetu, itapatikana Demokrasia na uchaguzi wa haki.
Sent using
Jamii Forums mobile app