Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,388
Namtazama John Kerry anavyowasifu kwa kuendesha uchaguzi kistaarabu na kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya kukusanya na kujumlisha matokeo na kukamilisha process nzima ndani ya siku 2 tu za uchaguzi, observers wote kutoka UE, Africa Union, EAC wanaonesha kuridhika mno na uchaguzi...nakosa la kusema zaidi tu ya kuwaonea wivu hawa jamaa wa taifa hili lililostaarabika na lenye uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki;
Hakika ndugu zetu hawa wako level nyingine kulinganisha na Dictators Club ya akina Kagame, Museveni, Nkurunzinza, Kabila na huyu mwenzao bendera fuata upepo asiyejua kama jua hukucha na kuchwea...chaguzi katika nchi zetu hizi ni political nonsense, nothing short of that!
Hongereni Wakenya, endeleeni kuijenga nchi yenu kuwa mfano wa taifa la kistaarabu kabisa katika Africa, taifa lenye uchumi imara, taifa lenye wasomi wanaojitambua...hongereni sana Mazee!
Hakika ndugu zetu hawa wako level nyingine kulinganisha na Dictators Club ya akina Kagame, Museveni, Nkurunzinza, Kabila na huyu mwenzao bendera fuata upepo asiyejua kama jua hukucha na kuchwea...chaguzi katika nchi zetu hizi ni political nonsense, nothing short of that!
Hongereni Wakenya, endeleeni kuijenga nchi yenu kuwa mfano wa taifa la kistaarabu kabisa katika Africa, taifa lenye uchumi imara, taifa lenye wasomi wanaojitambua...hongereni sana Mazee!