KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
Mimi ilikuwa hivyo ikabidi niwape rushwa ya shilingi 20k ili waihamishe. Ilikuwa TRA pale mwenge.

Uwezo wa kuihamisha wanao, ila wanataka RUSHWA. nchi hii ina watumishi wa umma wapumbavu sana, hiyo kodi unayotaka kulipa ndio mishahara yao lakini bado wanataka rushwa mbuzi hao.
 
Mimi ilikuwa hivyo ikabidi niwape rushwa ya shilingi 20k ili waihamishe. Ilikuwa TRA pale mwenge.

Uwezo wa kuihamisha wanao, ila wanataka RUSHWA. nchi hii ina watumishi wa umma wapumbavu sana, hiyo kodi unayotaka kulipa ndio mishahara yao lakini bado wanataka rushwa mbuzi hao.
Duh kumbe na mimi wameniletea huo ujinga hapo hapo Mwenge, alafu nawauliza kwanini inakuwa hivyo eti ooh itaonekana tunawaibia mlipa kodi wao, utafikiri kule iliko ni Zambia!
 
Duh kumbe na mimi wameniletea huo ujinga hapo hapo Mwenge, alafu nawauliza kwanini inakuwa hivyo eti ooh itaonekana tunawaibia mlipa kodi wao, utafikiri kule iliko ni Zambia!
Mimi nashangaa kwa nini mnatoa rushwa na mnaogopa kusaidiwa. Nilitaka nikusaidie kwa kuona mwananchi mwenzangu wamekuzengua ila umekuwa mkimya haya mimi ngoja nipambane na mahesabu yangu ya siku nivute foleni ipungue
 
Mimi nashangaa kwa nini mnatoa rushwa na mnaogopa kusaidiwa. Nilitaka nikusaidie kwa kuona mwananchi mwenzangu wamekuzengua ila umekuwa mkimya haya mimi ngoja nipambane na mahesabu yangu ya siku nivute foleni ipungue
Hakuna mahali nimesema nimetoa rushwa, mimi nimeondoka pale bila msaada wowote na wao hakuna walichojali!
 
Hakuna mahali nimesema nimetoa rushwa, mimi nimeondoka pale bila msaada wowote na wao hakuna walichojali!
siyo wewe ni mwananchi mwezetu aliyekubali toa 20,000 pole hukunielewa ndugu. nia yangu nikusaidie ili hao wanaotukwamisha viongozi wao wawajue ndiyo maana niliomba unipe namba nimpe jirani yangu ni kiongozi huko
 
Hii nchi wameshazoea rushwa
Juzi mtu namuelekeza mtu akalipie benki kununua gari, nimempa invoice eti benki wanataka contract ya kumuuzia, daah!
Mkuu hata hili nalo unalipinga? Yaani mtu aende tu na kadi aseme tumeuziana bila ushahidi? Kwa hili nadhani ni sahihi
 
Ni kawaida afisa wa TRA kukataa pesa kwa sababu zisizo na ulazima.

Kuna mtu alifunga biashara kipindi cha covid akalipa madeni yote akatulia, kosa alilofanya ni alisahau kuwaambia kwa barua kuwa kafunga.

Baada ya miaka mi3 akaenda ili afungue tena biashara, maafisa wakamwambia hujakadiriwa miaka mi3, hivyo hatukukadirii mwaka huu mpaka ukubali kukadiriwa miaka yote.

Akawaambia angalieni bank statement, angalieni mashine, sijafanya biashara nilifunga ndo nimekuja nianze, nikadirieni nikapambane nipate riziki mpate kodi, maafisa wakagoma.

Jamaa akasusa na yeye, baadae ndo akashauriwa tuma mtu aongee nao kuwa kwanini mnakataa raia kulipa kodi? Kwanini msipokee pesa ya mwaka huu halafu mkaitana kuthibitisha hayo ya nyuma?

Ingekuwa private, chap kwanza unakadiriwa unaambiwa lipa halafu ikishalipwa unapewa invoice ya miaka mi2 ya nyuma ndo uanze kujitetea na kuthibitisha kuwa hukufanya biashara na sio mtu akatae pesa sababu hakukuona huko nyuma.
 
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
Hapo bado wangekwambia mtandao unasumbua siku nzima
 
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
Haya Ndio Yale alikuwa anaongelea Makonda Siku Ile Arusha Kwenye kikao na Sekta ya utalii
Ukweli ni kwamba kuna Namna wafanyakazi TRA wananufaika na mfumo mbovu. Otherwise tuna wasomi wa ajabu sana
 
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
Mwananchi mwenzangu pole nimecheki na jirani yangu huyo baada ya kunitumia taarifa zako nikampa ameniambia tayari na amesikitika sana na yaliyokukuta nikamuomba afatilie maana kasema hategemi wao kama tra watoe huduma mbovu sababu matarajio na miongozo yao ni huduma bora zenye weledi na uadilifu
 
Wafanyakazi wa Taasisi za Serikali wanatakiwa walipwe kutokana na uzalishaji wa taasisi husika, ikifanyika hivyo wataheshimu kazi na watu
 
Mwananchi mwenzangu pole nimecheki na jirani yangu huyo baada ya kunitumia taarifa zako nikampa ameniambia tayari na amesikitika sana na yaliyokukuta nikamuomba afatilie maana kasema hategemi wao kama tra watoe huduma mbovu sababu matarajio na miongozo yao ni huduma bora zenye weledi na uadilifu
Nashukuru mkuu, nitaleta mrejesho ikishakuwa approved!
 
Wananidai deni kubwa sana, uzuri wanaweza lifuta lote. Hapa nawatafutia rushwa wanifutie maana 29mil na inaongezeka kila mwezi sio ndogo eti
 
Back
Top Bottom