Na haya mambo yameanza kubadilika baada ya watu kuanza kugeuza ndoa za watu miradi ya kibiashara.Ifike wakati harusi ziwe simple tu ,wawe wahusika(mke na mume) na wapambe wa maharusi then ndugu wawili wa upande wa kike na wa kiume pamoja na mashahidi wa upande wa kike na wakiume basi.
Siyo Bonge la sherehe baada ya miezi 6 wanaachana.
Wanangu nani atawasomesha?Unataka sisi maMC tukale wapi ndugu yangu, changeni nasi tupate za kusomesha watoto...
Jumla ya magroup sita yananitaka nitoe si chini ya laki laki.
Nimeleft. Sitaki mjinga.
Hizi ndoa za maghalama hiz ni upuuzi mtupu. Watu kuoana muoame wenyewe mizigo mtubeneshe sisii shenzi.
Mm natoaga tu mwanaharaamu apite mara zote kulipishana mahela ni ujuha.
Kwani mnasshimdwa nn kujichanga mkala unwabwa na mdg zenu. Au washkaji wako. Chai, soda kalimati tosha kuolea au kuoa. Yanini uchamgishe pesa uipoteze, na kias hicho let say 15 Millions wewe mwenyewe unakihitaji...hakikuumi.kukipoteza kuwapa deal wapikaji? Wapambaji? AMadomo kaya aka wasema hovyo ma MC. Unajisikiaje kupoteza pesa kukodi magari? Kulipia millions ukumbi ambao ni siku moja kwa nn usiipate million ukannua matofali ukajenga?
Mimi nadhani ule mapngo wa kulipa kodi ya sherehe ianzishwe, kutokomeza huu upuuzi.
Cha ajabu wengi mnaoana kwa mamilions of money hamdumu kwenye ndoa na pesa huishia kupotea na kwamba umewatia hasara wachamgiaji..
Nimeleft magroup ya harusi si kwa nia Mbaya ni kwa ustawi wa maisha ya watu wanaoumia nanhawasemi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninyi na madalali wa nyumba, viwanjayna magari dugu moja.
Mc kule kijijini analipwa shilingi nhapi, kwani uemc pay slip ni sh ngapi, kwani shilling ngapi.
Katika watu ambao nawachukia ni MC na madalali.
Gari sh million 24 yeye ana million 3 ya burebure tu.
Mara nyingi nikitaka vyumba mm mwenyewe mguu kwa mguu
Huko nyuma,1990s harusi lilikua suala la familia na ukoo,huu ushenzi wa kuchangisha watu unakuta bajeti 13m sijui alianzisha nani!? Kama huwezi gharamia harusi yako kwanini usingoje utapoweza!? lazima kwenda ukumbini!? fanyia kwenu, watu wale pilau suala liishe.Ifike wakati harusi ziwe simple tu ,wawe wahusika(mke na mume) na wapambe wa maharusi then ndugu wawili wa upande wa kike na wa kiume pamoja na mashahidi wa upande wa kike na wakiume basi.
Siyo Bonge la sherehe baada ya miezi 6 wanaachana.
Haelewi kazi ya magroup ya harusi anadhani ni harusi tu alivyo mjingaElfu 50 ndiyo inakufanya useme yote haya mkuu?
Kwa waafrika ni sehemu ya utamaduni.Huwa ni kero sana kusema ukweli!!! Hii mambo tubadilike..... inatosha kama familia mna changiana kimya kimya maisha yanaendelea
Kwani ujui sikuizi MA-MC wanakula wapi [emoji849][emoji849] kama ujui mtafute MC mwenzako mashuhuri MC-MBOWE atakuambia sikuizi kuna MA-MC WALAMBA ASALI
Ninyi na madalali wa nyumba, viwanjayna magari dugu moja.
Mc kule kijijini analipwa shilingi nhapi, kwani uemc pay slip ni sh ngapi, kwani shilling ngapi.
Katika watu ambao nawachukia ni MC na madalali.
Gari sh million 24 yeye ana million 3 ya burebure tu.
Mara nyingi nikitaka vyumba mm mwenyewe mguu kwa mguu