EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nimeleft. Sitaki ujinga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeleft. Sitaki ujinga
Ungesema nikueleweshe.Na kweli sijakuelewa
Umeongea La maana kubwa sana.Mimi nafikri asilimia kubwa ya michango ya harusi ingelenga kuwasaidia maharusi kuanza maisha, mfano kama bajeti ni milioni 25, milioni tano ndo itumike kwenye sherehe ile milioni ishirini wapewe wakaanze maisha.
Mfanye kazi, u MC sio kazi huo ni udalaliUnataka sisi maMC tukale wapi ndugu yangu, changeni nasi tupate za kusomesha watoto...
Nimejielewesha mwenyewe kwa sababu najua wapo Wanawake wanapogundua wanamliki mwanaumywanagharamia ndoa na kila kitu wao(wanawake).Ungesema nikueleweshe.
Atafute muoaji sio kusumbuana jana nimepoteza 250k saivi nimeblock namba zote kuniunga kwenye wasap grpsUnaongea sana, tafuta pesa.