Nimejiondoa kwenye makundi sogozi ya harusi

Nimejiondoa kwenye makundi sogozi ya harusi

Jumla ya magroup sita yananitaka nitoe si chini ya laki laki.

Nimeleft. Sitaki mjinga.

Hizi ndoa za maghalama hiz ni upuuzi mtupu. Watu kuoana muoame wenyewe mizigo mtubeneshe sisii shenzi.

Mimi natoaga tu mwanaharaamu apite mara zote kulipishana mahela ni ujuha.

Kwani mnasshimdwa nn kujichanga mkala unwabwa na mdg zenu. Au washkaji wako. Chai, soda kalimati tosha kuolea au kuoa. Yanini uchamgishe pesa uipoteze, na kias hicho let say 15 millions wewe mwenyewe unakihitaji. Hakikuumi kukipoteza kuwapa deal wapikaji? Wapambaji? AMadomo kaya aka wasema hovyo ma MC. Unajisikiaje kupoteza pesa kukodi magari? Kulipia millions ukumbi ambao ni siku moja kwa nn usiipate million ukannua matofali ukajenga?

Mimi nadhani ule mapngo wa kulipa kodi ya sherehe ianzishwe, kutokomeza huu upuuzi.

Cha ajabu wengi mnaoana kwa mamilions of money hamdumu kwenye ndoa na pesa huishia kupotea na kwamba umewatia hasara wachamgiaji.

Nimeleft magroup ya harusi si kwa nia Mbaya ni kwa ustawi wa maisha ya watu wanaoumia nanhawasemi.
Duh!
Yaani bado kuna watu mmenasa huko? Mimi niliwahi kumwambia jamaa yangu m1 kuwa km ulikuwa hujajiandaa na kukomaa kifikira huna 7bu ya kuoa au kuolewa siyo dharura mpaka unisumbue mimi.

Niko tayari kushirikiana bega kwa bega kwenye matukio ya dharura km ajali, ugonjwa, misiba na majanga mengineyo na siyo sherehe ya aina yoyote.

Basi mpaka kesho huwa hawahangaiki na mimi kuhusu sherehe.
 
Nimesoma comments za wadau nami acha nitoe mchango wangu kama ifuatavyo:

Wabongo wengi harusi wamegeuza fursa ya kupiga hela. Anawekeza milioni moja tu kuandaa kamati then kifuatacho baada ya sherehe ni faida pesa iliyobaki kwenye maandalizi jumlisha pesa walizozawadiwa (tena wakiwa na Mc mnoko mnoko ambaye anawafuata wageni waalikwa kwenye viti vyao ili wakalishwe cake na bi harusi kwa laki laki) hapo unakuta wana kama 20M na vitu kibao wanakuwa washapata mtaji wa kuanzishia biashara au ujenzi.

Imagine mtu amechanga laki halafu anaambulia sahani ya wali na kimguu cha kuku na bia tatu ambavyo jumla havifiki hata elfu 20 halafu bado wenye muda wa zawadi ananyanyuliwa kwa nguvu na Mc eti kisa amechomekea akalishwe cake kwa laki.!

Enewei naunga mkono oparesheni #Kataa ndoa #Kataa michango ya harusi #Kataa Ccm
 
Jumla ya magroup sita yananitaka nitoe si chini ya laki laki.

Nimeleft. Sitaki ujinga.

Hizi ndoa za maghalama hizi ni upuuzi mtupu. Watu kuoana muoane wenyewe mizigo mtubeneshe sisii, shenzi.

Mimi natoaga tu mwanaharamu apite mara zote kulipishana mahela ni ujuha.

Kwani mnashindwa nini kujichanga mkala ubwabwa na ndugu zenu au washkaji wako? Chai, soda kalimati tosha kuolea au kuoa. Yanini uchamgishe pesa uipoteze, na kiasi hicho lets say 15 millions wewe mwenyewe unakihitaji.

Hakikuumi kukipoteza kuwapa deal wapikaji? Wapambaji? Madomo kaya aka wasema hovyo ma MC. Unajisikiaje kupoteza pesa kukodi magari? Kulipia millions ukumbi ambao ni siku moja kwa nini usiipate millioni ukannua matofali ukajenga?

Mimi nadhani ule mapango wa kulipa kodi ya sherehe ianzishwe, kutokomeza huu upuuzi.

Cha ajabu wengi mnaoana kwa mamilions of money hamdumu kwenye ndoa na pesa huishia kupotea na kwamba umewatia hasara wachangiaji.

Nimeleft magroup ya harusi si kwa nia Mbaya ni kwa ustawi wa maisha ya watu wanaoumia na hawasemi.
Mkuu weka heshima na adabu kwenye kazi za watu bosi, kama haujataka kuchanga we kataa na uishie hapo tu, hakuna haja ya kumuita domo kaya au Msema hovyo (MC) mtu ambae pengine amekuzidi mbali sana kwa kipato
 
Jumla ya magroup sita yananitaka nitoe si chini ya laki laki.

Nimeleft. Sitaki ujinga.

Hizi ndoa za maghalama hizi ni upuuzi mtupu. Watu kuoana muoane wenyewe mizigo mtubeneshe sisii, shenzi.

Mimi natoaga tu mwanaharamu apite mara zote kulipishana mahela ni ujuha.

Kwani mnashindwa nini kujichanga mkala ubwabwa na ndugu zenu au washkaji wako? Chai, soda kalimati tosha kuolea au kuoa. Yanini uchamgishe pesa uipoteze, na kiasi hicho lets say 15 millions wewe mwenyewe unakihitaji.

Hakikuumi kukipoteza kuwapa deal wapikaji? Wapambaji? Madomo kaya aka wasema hovyo ma MC. Unajisikiaje kupoteza pesa kukodi magari? Kulipia millions ukumbi ambao ni siku moja kwa nini usiipate millioni ukannua matofali ukajenga?

Mimi nadhani ule mapango wa kulipa kodi ya sherehe ianzishwe, kutokomeza huu upuuzi.

Cha ajabu wengi mnaoana kwa mamilions of money hamdumu kwenye ndoa na pesa huishia kupotea na kwamba umewatia hasara wachangiaji.

Nimeleft magroup ya harusi si kwa nia Mbaya ni kwa ustawi wa maisha ya watu wanaoumia na hawasemi.
Unadhani kila mtu ndo ww unakua na mahusiano na dem miaka nenda rudi ukisikia tu kishika uchumba unaanza ngonjera em ukwendreeeeeeee.
 
Unadhani kila mtu ndo ww unakua na mahusiano na dem miaka nenda rudi ukisikia tu kishika uchumba unaanza ngonjera em ukwendreeeeeeee.
Wewe unakaaje na Mtu bila ndoa...

Kaza olewa endeleeni na mambo mengine.


Sio unakaa na mwanaume ukisubiri huruma
 
Dj na mc ndugu moja zamani alikuwa dj sikuizi ni MC wa ccm kama ulikuwa ujui....kalipwa na ccm chupa ya Asali ...anapokuwa DJ anakuwa na chupa ya Konyagi mfukoni na anapokuwa MC anakuwa na chupa ya Asali mfukoni
Acha kuharibu Uzi Kwa comments za kifala
 
Huko nyuma,1990s harusi lilikua suala la familia na ukoo,huu ushenzi wa kuchangisha watu unakuta bajeti 13m sijui alianzisha nani!? Kama huwezi gharamia harusi yako kwanini usingoje utapoweza!? lazima kwenda ukumbini!? fanyia kwenu, watu wale pilau suala liishe.
Ajabu sana, mil 13 kwa ujinga mwingi tu utaoendelea mule kuna mjinga mmoja alikua anasema m 15 wala sio nyingi i was wtf?
 
Haelewi kazi ya magroup ya harusi anadhani ni harusi tu alivyo mjinga

Mle mna kufahamiana, hata msiba ukipata magroup hayo ndio ya kukubeba, bado connections za kibiashara, ajira nk

Watu wengine hadi hupata kura wakigombea kupitia hayo magroup nk

Uliza wagombea uongozi nyadhifa mbalimbali wanavyopenda hayo magroup nk

Nafikiri hajielewi na haelewi group ni nini?
Pumba pro max
 
Pumba pro max
Jamaa noya Sana. Anatetea kura? Huko kwenye politics sijasema.

Watu wanachagua mwenyekiti,katibu,mhazina wa kubajeti pesa za watu zilizohalalishwa kumikikiwa na muoaji na anayeolewa. Yaani zike fedha zikiingia mikononi mwa wanandoa watarajiwa hawajifikirii hata wao wenyewe kuwa wanafuja na watakuja kuhitaji mia.

Halafu eti anakuja mtu anadai kumchangia mtu ni compasary
 
Hakuna vitu sivipendi kama harusi aiseee. Huwa nachanga kwa aibu but sihudhurii. Na nyingi huwa sichangi kab8sa
 
Huo upuuzi wa kuchangia harusi nishaachaga kitambo. Ni upumbavu uliopitiliza. Yaan kumegana mkamegane nyie halafu gharama nibebe mimi?? Kila mtu apambane na hali yake kama huna uwezo wa kuhudumia gharama za harusi kaa utulie.

Kwa kulitambua hilo sikutaka niwasumbue watu, nilienda ukweni nikaambiwa gharama za mahali nikatoa nikapata baraka za wazee tukaja kuanza maisha, maisha ni matamu hakika. Mambo ya kushikashika Mick nimewaachia kizazi kipya
 
Michangi inakera, nachangia kwa ndg wa karibu napo kwa aibu tu, sipendi hizi mambo
 
Mimi nafikri asilimia kubwa ya michango ya harusi ingelenga kuwasaidia maharusi kuanza maisha, mfano kama bajeti ni milioni 25, milioni tano ndo itumike kwenye sherehe ile milioni ishirini wapewe wakaanze maisha.
 
Back
Top Bottom