Mr Gratitude
Member
- Aug 8, 2020
- 48
- 66
- Thread starter
- #21
Hivi kumbe facebook bado ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe facebook bado ipo
hongera sana kwa uamuzi wa kijasiriAcha kabisa.I have gt almost 7 years toka nime deactivate account na wala si feel kurud huko.Sina twitter sina insta sina lolote zaid JF na Quora
na izi bando za kuunga unga utakua vizuriJF na twitter full stop.
Kwengine nikienda ni kutafuta kitu tu nakutoka.
Na YouTube ndio ulevi wangu.
sanaFacebook tamu na ina addiction
Em ngoja kwanza
Umenimisije?
Miongoni mwa mtandao ambao sijawahi tumia ni huo!Hivi kumbe facebook bado ipo
Kumbe we ni Mimi aseehh!nimefuta IG,twita sina,only jf!Acha kabisa.I have gt almost 7 years toka nime deactivate account na wala si feel kurud huko.Sina twitter sina insta sina lolote zaid JF na Quora
KumbeeSiwezi acha FB! I connect with people I know in real life, FB sina acquaintances za kijinga, whoever is my friend is a friend in real life!
anything popular is wrong.Hakuna Kama fb mtandao wenye teknolojia kubwa na unaongoza kuwa na watu wengi
actually hujakimbia chochote, hapo umesubstute tu mitandao, addiction itaendelea kua hapo.Leo ni siku ya 3 tangu nipumzike kutumia mtandao wa facebook ( nimediactivate my accont) nimeanza kuhisi kama naumwa, kweli hii mitandao ipo addictive ngoja nione nita-sustain kwa muda gani, sasa nipo JamiiForums nacheki wana wakishusha nyuzi za mtumbadi Putin
Mie mara ya mwisho kutumia ni O levelMiongoni mwa mtandao ambao sijawahi tumia ni huo!
Kwa haraka haraka kuna aina kama tatu hivi za kumissHahah kwani kuna aina ngapi za kumiss Jo?
Mimi ni sawa na wewe ila nina miaka 9 kutotumia Facebook, Instagram wala TwitterAcha kabisa.I have gt almost 7 years toka nime deactivate account na wala si feel kurud huko.Sina twitter sina insta sina lolote zaid JF na Quora
Niliijua JF kupitia page yao ya Facebook, tangu siku hiyo(mwaka 2017) nikaipotezea FB hadi leo hii.Leo ni siku ya 3 tangu nipumzike kutumia mtandao wa facebook ( nimediactivate my accont) nimeanza kuhisi kama naumwa, kweli hii mitandao ipo addictive ngoja nione nita-sustain kwa muda gani, sasa nipo JamiiForums nacheki wana wakishusha nyuzi za mtumbadi Putin
Ndio mdogo wangu, naona kila mtu anaibeza FB as if ni mtandao wa kitoto sana, actually ni mtandao mzuri sana, inategemea umejiunga page zipi...kama mtu kajiunga page za machangudoa wa magomeni, au mafunzo ya jinsi ya kufvck lazima aone ni mtandao wa kijinga.Kumbee
Kwa haraka haraka kuna aina kama tatu hivi za kumiss
Usiniambie nikutajie tafadhali 😄