Nimejipa challenge ya kutotumia Facebook

Nimejipa challenge ya kutotumia Facebook

Acha kabisa.I have gt almost 7 years toka nime deactivate account na wala si feel kurud huko.Sina twitter sina insta sina lolote zaid JF na Quora
Kumbe we ni Mimi aseehh!nimefuta IG,twita sina,only jf!
 
Leo ni siku ya 3 tangu nipumzike kutumia mtandao wa facebook ( nimediactivate my accont) nimeanza kuhisi kama naumwa, kweli hii mitandao ipo addictive ngoja nione nita-sustain kwa muda gani, sasa nipo JamiiForums nacheki wana wakishusha nyuzi za mtumbadi Putin
actually hujakimbia chochote, hapo umesubstute tu mitandao, addiction itaendelea kua hapo.
Yani ni kama ulikua unapiga Lager sasa hivi unapiga LITE.
 
Leo ni siku ya 3 tangu nipumzike kutumia mtandao wa facebook ( nimediactivate my accont) nimeanza kuhisi kama naumwa, kweli hii mitandao ipo addictive ngoja nione nita-sustain kwa muda gani, sasa nipo JamiiForums nacheki wana wakishusha nyuzi za mtumbadi Putin
Niliijua JF kupitia page yao ya Facebook, tangu siku hiyo(mwaka 2017) nikaipotezea FB hadi leo hii.

Sina mapenzi ya kuitumia kabisa, nina akaunti zangu 2(real) huko sina muda nazo kabisa.

Instagram pia nimeshidwa kuimudu/kuitumia kabisa, sababu kubwa ni namna ya kuchapisha maudhui ambapo hadi uambatanishe picha au video.

JF imebaki ndio kijiwe changu pekee, ikifuatiwa na Twitter sambamba na Linkedln.
 
Ndio mdogo wangu, naona kila mtu anaibeza FB as if ni mtandao wa kitoto sana, actually ni mtandao mzuri sana, inategemea umejiunga page zipi...kama mtu kajiunga page za machangudoa wa magomeni, au mafunzo ya jinsi ya kufvck lazima aone ni mtandao wa kijinga.
 
Back
Top Bottom