KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Hao watu wapo hivyo na bado hujapata vitisho toka kwakeJinsi huyu mwajiri alivyo kiburi na jeuri its likely anajiamini sana either cma ipo mfuko i mwake or hawajui hata. Let bet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watu wapo hivyo na bado hujapata vitisho toka kwakeJinsi huyu mwajiri alivyo kiburi na jeuri its likely anajiamini sana either cma ipo mfuko i mwake or hawajui hata. Let bet.
Mtego ganUko sahihi asimshitaki kwa kumfukuza bali kwa kumnyima mshahara.
Mwajiri atajitetea kwamba jamaa ni mtoro kazini, naye jamaa atajitetea kwamba kwa kuwa amekuwa mtoro kwa kuwa anakosa pesa ya kujikimu pamoja na nauli, hivyo inambidi kufanya vibarua vya kusukuma siku ili aweze kujikimu. Na aweke wazi kuwa yuko tayari kazini wakati wowote pindi atakapo lipwa madai yake. Hivyo mwajiri itamlazimu kuweka wazi kwanini hamlipi mtumishi wake, lipi atakamilisha malipo pia mama bado anamhitaji ama laah. Kama hamuhitaji itabidi ampe barua ya kumfukuza kazi kwa utoro. Hivyo barua atakuwa ameipa
N.B. jamaa hajaweka wazi kwenye barua yake aliandika nini, maana inaweza kutumika kama mtego
I dont take kindly to threats. Labda useme wewe ulitishwaje au ipojeHao watu wapo hivyo na bado hujapata vitisho toka kwake