Nimejiridhisha waliotumbuliwa kwa vyeti feki ndo wamejazana taasisi binafsi hasa secta ya Afya

Nimejiridhisha waliotumbuliwa kwa vyeti feki ndo wamejazana taasisi binafsi hasa secta ya Afya

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu jf Mungu amewabariki popote mlipo na ilisha kua labda tu kwa mafisadi tu

Mwaka 2017 aliekua Rais wa JMT alitumbua watumishi wa umma waliokua na vyeti feki katika kada mbalimbali, may be lengo lake ilikua vijana wasio na doa kwenye Elim ,kupata ajira

Ila kwa uchunguzi wangu hawa waliotumbuliwa asilimia kubwa wapo kwenye taasis binafsi hasa watu wa idara ya afya na idara ya elim binafsi ,wenda pia hii inafanya vijana wetu kosa elim japo wapo na sifa,

Kwanini wanapendwa hawa wahujum uchumi kupitia vyeti feki waliotimuliwa katika utumishi wa umma kwenye taasis binafsi

1. Kwanza ni machawa kazini na kujipendekeza maana bila hivyo wakitimuliwa wanaona hakuna maisha nje ya kuajiriwa

2.Hawa hulipwa mshahara kiduchu na sio wasumbufu maana huona wamepata fulsa adhimu sana hata mshahara ukichelewa kwao ni sawa,bora akope kwa Mangi atalipa tu mda ukifika maana anajiuliza akifukuzwa ataenda wapi?

WITO KWA SERIKALI
1.Chunguzeni hili, na kama ni kweli , hawa wapeni mtaji , nafasi zao huko walipo wapewe vijana , wenda pia wakawa wanafanya ulibifu wakijua likitimka nitajitetea kwamba nilisha timuliwa na kwa sasa mie bodaboda(natoa mfano tu)

2 Agizeni taasis binafsi kuacha mara moja ajiri watu hawa na badala yake waajiri watu huru , vijana wapo wengi mtaani

3 Serikali wekeni sheria kwamba taasis binafsi imemwajiri yoyote mwenye tuhuma za ubadhilifu wa vyeti na alisha timuliwa basi huduma zake zifungiwe mara moja

NAWAKILISHA
 
Umejiridhishaje? Weka wazi njia uliyotumia kuhitimisha uchunguzi wako.
 
Jitahidi uwe bora na uwe na ufanisi.

Ukifika hatua hiyo Ajira utapata Mara moja.

Ukianza kuona unabaniwa ujue bado upo hatua za chini endelea kuweka efforts vyeti feki sio sababu ya wewe kukosa Ajira keep this in ur mind.
 
Mmetufata na huku tena? mbona tuliwachia kazi zenu huko bwanaweee
 
Msikilize Mpina anasema kuna watumishi 6 Tanesco wameajiriwa bila ya interview wala vetting, nchi imechezewa sana na watu .
Tukisema hapa kwamba wengi wale waliojazana maofsini kwa ukabila sio wasomi wanaanza kumchukia Magufuli , mara ooh! hataki watu wa kanda fulani kumbe ni vyeti feki.
 
Msikilize Mpina anasema kuna watumishi 6 Tanesco wameajiriwa bila ya interview wala vetting, nchi imechezewa sana na watu .
Tukisema hapa kwamba wengi wale waliojazana maofsini kwa ukabila sio wasomi wanaanza kumchukia Magufuli , mara ooh! hataki watu wa kanda fulani kumbe ni vyeti feki.



Serikalini vyeti fake Haifai Ila sector binafsi huwa wanaangalia matokeo na ufanisi wa MTU katika kazi.

Mtoa mada ni vizuri ajiboreshe awe bora kuliko kutaka watu wa vyeti fake wakose riziki that is hell.

Vijana ambao hawana Ajira perspective yao ipo in dark zone.

Kupata kazi au mchongo wowote huwa hakuna uhusiano na wenzio kukosa , ukiona MTU anahitaji watu wawe fired ili yeye apate kazi ujue Ana fixed mindset.
 
Msikilize Mpina anasema kuna watumishi 6 Tanesco wameajiriwa bila ya interview wala vetting, nchi imechezewa sana na watu .
Tukisema hapa kwamba wengi wale waliojazana maofsini kwa ukabila sio wasomi wanaanza kumchukia Magufuli , mara ooh! hataki watu wa kanda fulani kumbe ni vyeti feki.
Na wanaomchukia wengi ni watu wa magumashi tu, wababaishaji, vishoka
 
Mimi naowajua wametumbuliwa wote wamerudi kazini Tena kipindi aliewatumbua bado yupo,hata Kama walikua na vyeti feki walikua wanaofanya kazi kwa uadilifu kwanini mtu asiwaajili na ukizingatia wanauzoefu wa kutosha,kungekua na haki wangepita na kule kwngne kuwatumbua maana ndiyo wamejaa vyeti feki lkn hawajawagusa.
 
Serikalini vyeti fake Haifai Ila sector binafsi huwa wanaangalia matokeo na ufanisi wa MTU katika kazi.

Mtoa mada ni vizuri ajiboreshe awe bora kuliko kutaka watu wa vyeti fake wakose riziki that is hell.

Vijana ambao hawana Ajira perspective yao ipo in dark zone.

Kupata kazi au mchongo wowote huwa hakuna uhusiano na wenzio kukosa , ukiona MTU anahitaji watu wawe fired ili yeye apate kazi ujue Ana fixed mindset.
Hizi taasisi nyeti tena zenye maslahi makubwa , kule utumishi wapo ila kugumu... Chukulia wapo TRA ,TBS , TANESCO , TPA
 
Msikilize Mpina anasema kuna watumishi 6 Tanesco wameajiriwa bila ya interview wala vetting, nchi imechezewa sana na watu .
Tukisema hapa kwamba wengi wale waliojazana maofsini kwa ukabila sio wasomi wanaanza kumchukia Magufuli , mara ooh! hataki watu wa kanda fulani kumbe ni vyeti feki.
Unataka kusema na wabunge wamo wenye vyeti feki? 😀 😀
 
Back
Top Bottom