Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Hahaa,..hakikaa!!!!Huu uzi umejengwa kwenye msamaha hivyo Raynavero atakua amesamehe na kusahau tayari.
Ooh, under 18? Hapa hapakufai. Work hard on your books man.
Ok wakuu, kesho shule sisi wengine.Basi upumzike sasa young bradha ama niniiππ
TchaoooππOk wakuu, kesho shule sisi wengine.
Wafaransa wanasema bonne nuit Γ tous!!
Goodnight/goodday...!!Tchaooo[emoji112][emoji112]
π€Ok wakuu, kesho shule sisi wengine.
Wafaransa wanasema bonne nuit Γ tous!!
Huyu mwanamke anaonekana ni lidada litamu...nitaleta mrejeshoMi simo hukoo!mother confessor umeskia
Missing u babesThere she goes, another sweet lady!
Kipenzi kulikoni mama?Dah!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
πππMimi hujawahi kunikwaza, nikwaze basi ili nikusamehe
AmeenNimeuona uzi huu alfajiri hii
Unapokutana na bandiko kama hili na maneno ya busara kama haya asubuhi kama hivi ujue siku imeanza vizuri sana, kwa kheri na baraka
Hongera Raynavero upo kwenye njia sahihi kabisa...sio ya wale waliopotea njia wala walioghadhabikiwa na Mola
Ni wenye akili tu ndio hua na uthubutu kama huu
Nakuunga mkono
Aaamin, shukranAmeen
Kaka barikiwq na wewe
Wee umemsamehe?Umefanya vema sana kuomba msamaha kabla ya ile party yetu pendwa. Kitu muhimu iwe kweli umedhamiria kuomba msamaha na si kupretend. Samahani, Pole,Asante,Nashukuru ni maneno ya kawaida sana lakini yana impact kubwa sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. keep it up madame.