Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

Nakupendaga mm [emoji8][emoji8]
On a serious note.
Ray you're such a sweetheart dear. I'm not sure what you was thinking to come up with something like this but, you're too sweet.
This's just social media but still, at the end of the day we're all humans with feelings.

Humu ndani tunavyoenda, some, don't care much about other's feelings. Well, it's fake IDs anyways. Lakini kitu ambacho watu wanasahau, behind a fake ID, there's a human being with feelings. Na jinsi ambavyo that human being anaguswa na anafurahia some of the things in here, ndo hivyo pia anaweza kuguswa na kuumizwa with some of the things in here.
But then, we all deal with kufurahiswa ama kuumizwa, differently.

Ambavyo umeamua kuja na hii, kwa watu ambao wengine hata huwafahamu, shows how mature you're, Mentally&Spiritually.
Halafu hunaga issues na watu kivile. You speak up your mind, you laugh, have fun and move on. You always just fly girl!
Unajua nakupendaga lakini hii imenifanya nikupende zaidi. Umeonyesha kuna uwezekano kuwa Nice, Loving, Sweet and Mature kwenye social media kama hii, ambayo watu wengi wanatengeneza connections kwa ajili ya manufaa ya maisha yao, marafiki zao, ndugu na hata jamaa zao.

Keep it up Girl! [emoji173]
 
On a serious note.
Ray you're such a sweetheart dear. I'm not sure what you was thinking to come up with something like this but, you're too sweet.
This's just social media but still, at the end of the day we're all humans with feelings.

Humu ndani tunavyoenda, some, don't care much about other's feelings. Well, it's fake IDs anyways. Lakini kitu ambacho watu wanasahau, behind a fake ID, there's a human being with feelings. Na jinsi ambavyo that human being anaguswa na anafurahia some of the things in here, ndo hivyo pia anaweza kuguswa na kuumizwa with some of the things in here.
But then, we all deal with kufurahiswa ama kuumizwa, differently.

Ambavyo umeamua kuja na hii, kwa watu ambao wengine hata huwafahamu, shows how mature you're, Mentally&Spiritually.
Halafu hunaga issues na watu kivile. You speak up your mind, you laugh, have fun and move on. You always just fly girl!
Unajua nakupendaga lakini hii imenifanya nikupende zaidi. Umeonyesha kuna uwezekano kuwa Nice, Loving, Sweet and Mature kwenye social media kama hii, ambayo watu wengi wanatengeneza connections kwa ajili ya manufaa ya maisha yao, marafiki zao, ndugu na hata jamaa zao.

Keep it up Girl! [emoji173]

T ake nimepata hadi kawivu, sio kwa kigazeti hiki kisweet. Ray is such a darlin
 
T ake nimepata hadi kawivu, sio kwa kigazeti hiki kisweet. Ray is such a darlin


Hahah!, Aww!, T ake jamani..
Mbona kigazeti...lol
Acha tu I couldn't hold back, she's a darling indeed kama wewe. You know how hard it is for some of us to swallow our pride. But Ray always has good moments in here..
 
Hahah!, Aww!, T ake jamani..
Mbona kigazeti...lol
Acha tu I couldn't hold back, she's a darling indeed kama wewe. You know how hard it is for some of us to swallow our pride. But Ray always has good moments in here..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji8] [emoji8] [emoji8] we Dada jamani sifa zote za kwangu Mimi...?!!
Basi ahsante jua nakupenda sanaa!!!
 
Ningekuwa karibu ningekutafutia makosa kila siku niinjoi tu .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpk mwanangu hua namuombaga msamaha!mi bwana kinyongo sikiwezii!!!
 
Hahah!, Aww!, T ake jamani..
Mbona kigazeti...lol
Acha tu I couldn't hold back, she's a darling indeed kama wewe. You know how hard it is for some of us to swallow our pride. But Ray always has good moments in here..

Hapo nimeridhika angalau nimesifiwapo na mimi teh.
Kwa kweli kuswallow our pride sio kitu rahisi, speaking from experience as a nyakyusa lady teh. But even the scriptures says "God opposes the proud but shows favor to the humble.” Ndo napambana niwe humble kama bina
 
Hapo nimeridhika angalau nimesifiwapo na mimi teh.
Kwa kweli kuswallow our pride sio kitu rahisi, speaking from experience as a nyakyusa lady teh. But even the scriptures says "God opposes the proud but shows favor to the humble.” Ndo napambana niwe humble kama bina
Teh teh!!!binamu natamani ninngekua na mwandiko wako loohh!!!acha kabisaa

Mi naimani wewe in binti mnyenyekevu sana!
 
Teh nikikosea ntaomba msamaha hata mwaka, yani naomba msamaha zaidi ya maombi ya kazi. Ila kama sijakosea kwa kweli siombi msamaha hata iweje. Wanyaki tuna unyenyekevu, at the same time tuna pride, so inategemea tu side unayotaka kuniona nayo coz I simply go with the flow.
Teh teh!!!binamu natamani ninngekua na mwandiko wako loohh!!!acha kabisaa

Mi naimani wewe in binti mnyenyekevu sana!
 
Hapo nimeridhika angalau nimesifiwapo na mimi teh.
Kwa kweli kuswallow our pride sio kitu rahisi, speaking from experience as a nyakyusa lady teh. But even the scriptures says "God opposes the proud but shows favor to the humble.” Ndo napambana niwe humble kama bina


Hahah!, T ake wewe tyena!

Umenikumbusha hapo pa Wanyaki na pride Naona mkiamua basi, mumeamua..😁

Nimependa sana hilo Andiko, linaendana na hili bandiko.
 
Back
Top Bottom