Haya bhana umeshinda weweWanaume wapo ila sitaki wataja miye sitaki tafran [emoji3][emoji23][emoji23]
-zaidi ya kuombana misamaha.
-kupendana
-kuoana
-kukopeshana
-kupigana mizinga
-kushirikiana
-kutembeleana
-kutalakiana
-kumwagana
Shukrani mkuu.Hongera zenu, mm sijabahatika kuwa na member wa hivyo, labda vile sijawa serious na Jf..kila la kheri
Ngoja nichunguze mafaili kama ulishanikosea kisha nifikirie kama nitakusamehe.
bbade anajifanya mgumu hataki kuniomba msamaha kila akinikosea...... Nawe anzisha uzi kabla sijakushatki kwa mod
Kosa la pili hiloHizi ni sabau za kuongeza Kifungo....
Nakaribia kumaliza lakini.
Afadhali.... Tuendelee kuheshimiana...tusije vuana nguo watu wazima.Hahaaa!!wewe hapana kaka angalia tuu!kwanza nakuheshimu mpk baasi
Hapana sijapretend nilitamani muda kweli niandike hivi...maisha mafupi haya kaka angu nobody knows tomorrow!!!Umefanya vema sana kuomba msamaha kabla ya ile party yetu pendwa. Kitu muhimu iwe kweli umedhamiria kuomba msamaha na si kupretend. Samahani, Pole,Asante,Nashukuru ni maneno ya kawaida sana lakini yana impact kubwa sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. keep it up madame.
MtachutamaAfadhali.... Tuendelee kuheshimiana...tusije vuana nguo watu wazima.
[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwezi jua kwenye kuandika!!kuna mtu siku moja alinambia namkwaza na mwandiko wangu,mwingine nae hvyo hvyo..!!kumbe haya maandishi tu..wengine tunakwaza kumbeeUlifanya kosa gani lakini?
Kosa la pili hilo
Hapana sitaanzisha thread chokozi tena na fikirishi na lengo hata ikitokea mmekosea basi wajue ni maandishi tu mmeteleza havihusiani na wao...!!Baada ya kuomba msamaha huu,utaendelea kua member wa jf? kama utaendelea basi chance ya kuwakosea tena member wa humu bado ni kubwa,au utakua kila baada ya muda fulani unaanzisha thd ya kuomba msamaha?
Hahaaaahaaa....PM wengi siwajibu tena sana tu!!haina shida ntakujibu rafiki am sorry kwa hiloo...nakumbuka kweli mmekuchunia[emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuja PM sikujibiwa..aisee iliniuma sana[emoji16]